Nimeweka namba za vocha ya elfu 10 ya vodacom hapa kwa atakaewahi aisee
Hii ni mara ya pili naweka zawadi ya vocha hapa millardayo.com na ni kutimiza ahadi kwamba mara kwa mara nitakua naweka vocha mbalimbali kwa ajili ya kila mtu wa nguvu…
Wenzetu wana barabara nzuri lakini ajali kama hizi huwa zina wagharimu sana.
Ajali imetokea huko Indiana Marekani… ni kwenye hizi barabara za kisasa ambazo nyingine zinaruhusu mpaka magari kuanzia manne kwenda mwelekeo mmoja lakini ikitokea mmoja akahama njia ghafla au akapinduka,…
Umeliona gari jipya la Jux mwimbaji wa bongofleva? picha 14 ziko hapa
Mwaka 2014 umeanza kwa Wasanii kadhaa wa bongofleva wakiwemo wa zamani na wa sasa kuonyesha mali zao kama magari pamoja na nyumba wanazomiliki au wanazozijenga. Post ya leo inamuhusu Jux…
Hii ni ya shabiki wa Manchester United aliepiga simu polisi
Mlevi mmoja huko Uingereza ambae ni shabiki wa Manchester United amepiga simu 999 akiagiza kwamba anataka kuongea na kocha aliepita ambae ni Sir Alex Ferguson kuhusu matokeo ya mechi…
Namna Nje ya Box ilivyopokelewa Kitaani.
Masaa machache baada ya kuachiwa video ya Nje ya Box ya Nikki wa pili,Joh Makini na G-Nako tayari watu wanao-burn cd’s wanayo hii video,millardayo.com pia imepiga…
Huyu ndiye jamaa aliyekuwa anataka aitwe Mungu kisa kipo hapa,sikiliza Hekaheka hapa.
Bado uswahilini hakuishiwi na vituko hii imetokea jamaa kutaka kuitwa Mungu,endapo ukimbishia basi unakiona cha mtema kuni,kisa cha jamaa kutaka kuitwa Mungu kipo hapa kupitia Hekaheka ya leo sikiliza…
Hiki ndicho walichokisema Yanga baada ya TFF kumsimamisha Okwi.
Uongozi wa klabu ya Yanga umeweka hadharani ukweli kuhusiana na usajili wa mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka nchini Uganda Emmanuel Okwi ambaye kamati ya maadili na hadhi za wachezaji kutoka…
Kwenye zile video za Wanigeria 2014, hii nayo imo..
Video za namna hii ambazo Warembo ndio wanatumika sana kuiuzisha ndio zimekua na maoni mengi tena maoni tofauti huku wengi wakionekana kushtukia mchezo wa kuwatumia warembo kwenye engo za ziada…
Na hizi ndio picha za Diamond akiwa na msafara wake kuelekea Nairobi.
Diamond amesafiri pamoja na bodyguard,Dj,mpiga picha,dancers na yeye mwenyewe kuelekea jijini Nairobi. Safari hiyo ni kwa ajili ya show kwenye private party iliyondaliwa huko Nairobi japokuwa Diamond hajaiweka wazi…
Pichaz za waziri Magufuli akisimamia ujenzi wa daraja la Dumila lililosombwa na maji.
Unaambiwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli amepiga kambi mkoani Morogoro ili kuusimamia ujenzi wa Daraja la Dumila ambalo ni kiunganishi cha barabara ya Dodoma – Morogoro ambalo…