Ni kweli Watanzania 50 walinyongwa China 2013? wanaoshikiliwa je? …..jibu liko hapa
Ni taarifa nyingi ambazo zimekua zikipokelewa na Watanzania kupitia Magazeti, mitandao na hata redio wakati mwingine ambapo moja ya stori ambazo siwezi kuzisahau kwa 2013 ni ile ya Watanzania hamsini…
Mvua za Dodoma hazijazuia tu Treni kwenda, jingine ni hili
Kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Dodoma, nyumba 127 zimebomolewa na mafuriko ambapo watu 493 wamekosa makazi ya kuishi, pia nyumba 240 zimezingirwa na maji katika Kijiji cha Chipogolo Kata…
Magazeti ya leo Jumamosi January 11 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Pichaz za Bball Kitaa chini ya mataa Jan 10 2014 Dsm! @bballkitaa
Ni kweli kwa kipindi kirefu kwenye ardhi ya Tanzania tumezoea kwenda kwenye sehemu zilezile za starehe kama vile beach na bar lakini ni furaha yangu kwa sasa kuona vijana wa…
Picha za Roberto Carlos wa Brazil alipokutana na Wachezaji wa Yanga Uturuki.
Beki wa kushoto wa zamani wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil Robert Carlos leo asubuhi amekutana na wachezaji na viongozi wa Yanga kabla ya mazoezi. Carlos Kwa…
Sikiliza You heard ya leo hapa
Kwenye Xxl leo Soud Brown amemplify taarifa zinazohusu Msanii toka Manzese Ney wa Mitego,baada ya kusemekana kuachana na mpenzi wake,hiki ndo kitu kipya kilichoibuka kwake,sikiliza kupitia 87.5 Clouds Fm Shinyanga.…
Hii ni kutoka Kenya jamaa amefufuka akiwa chumba cha kuhifadhia maiti
Hii ni kutoka kwa majirani zetu ambapo tunaambiwa Wananchi wa Kenya wameshangazwa na taarifa ya kuzinduka kwa mwanaume mmoja aliyedhaniwa kuwa amekufa ambapo alizinduka akiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti…
Wanamgambo 30 wa Al-Shabaab wauwawa
Taarifa kutoka 254 zinasema Jeshi la Kenya linalopambana na kundi la wanamgambo la al-Shabaab linasema mpaka sasa wapiganaji 30 wa kundi hilo wameuawa Kusini Magharibi mwa Somalia,Msemaji wa jeshi hilo…
Wema Sepetu na Diamond wamerudi tena??? hii video kaipost Wema leo
Wema Sepetu amepost hii video kwenye page yake ya Instagram na kuandika, "In da middle of his writing session...jus had to distrub him a little". Bonyeza play uione video yenyewe…
Ya moyoni mwa Naibu spika Job Ndugai
Wengi tumeanza kumfahamu kupitia nafasi yake aliyonayo kwenye bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ila amekubali kukaa na millardayo.com na kuongelea upande wake wa pili,tumezoea kumsikia tu bungeni akiwa…