Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kifo cha mrembo mchekeshaji kilichoshutua mastaa mtandaoni
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kifo cha mrembo mchekeshaji kilichoshutua mastaa mtandaoni
Habari za Mastaa

Kifo cha mrembo mchekeshaji kilichoshutua mastaa mtandaoni

September 11, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Kifo cha mrembo Martha aliyekuwa akijishughulisha na shuguli za Uchekeshaji, MC na hata kuigiza kimeshutua baadhi ya watu wakiwemo mastaa mtandaoni waliokuwa wakimfahamu kutokana na kuwa kifo chake kuwa cha gafla baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Inaelezwa Martha alikuwa akiugua uti wa mgongo kwa muda mrefu na ndipo kisha kuugua maleria kali na awali alilazwa katika hospitali iliyopo Sinza Palestina na kisha kuhamishwa kupelekwa katika hospital nyingine ambapo ndipo umauti ukamkuta.

Enzi za uhai wa Martha alishawahi kufanya kazi nyingi ikiwemo kuwa moja ya wachekeshaji waliokuwa wakifanya Standup comedy ya ‘Cheka tu’ inayofanyikaga kila ijumaa ya mwisho wa mwezi, pia alishawahi kushiriki kwenye baadhi ya kazi za wasanii wa bongofleva kama kwenye video ya Whozu ya ‘Roboti’

Baadhi ya watu maarufu wameonesha kuguswa na kifo hicho na kupost haya kupitia kurasa zao za Instagram..

 

 

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Jennifer Lopez asherehekea miaka 15 ya mapacha wake, aonyesha muonekano wake mpya

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

TAGGED: ayotventertainment, bongo movie, bongoflevanews, Kifo
Victor Kileo TZA September 11, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Alichoandika Ray Kigosi kuhusu Chuchu “Tumlete dada yake Jaden’
Next Article Hawa ni faru tisa waliopokelewa Airport KIA kutoka Afrika Kusini (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?