Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Nollywood kuibeba Nigeria kiuchumi? Ripoti ya Umoja wa Mataifa Tume ya Kimataifa ya Biashara imeeleza haya!
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Nollywood kuibeba Nigeria kiuchumi? Ripoti ya Umoja wa Mataifa Tume ya Kimataifa ya Biashara imeeleza haya!
Habari za Mastaa

Nollywood kuibeba Nigeria kiuchumi? Ripoti ya Umoja wa Mataifa Tume ya Kimataifa ya Biashara imeeleza haya!

July 10, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

niijaa

Nimekutana na makala inayozungumzia ukuwaji wa tasnia ya filamu nchini Nigeria, je unajua ya kuwa Nigeria inatengeneza zaidi ya movie 50 kwa wiki moja tu? Na ina toa ajira kwa watu zaidi ya millioni moja ikiwa ni Sekta ya pili inayo ongoza kwa kutoa ajira huku Sekta ya kilimo ikiongoza?!

12 Kate Henshaw, Rita Dominic, Stephanie Linus & Omotola Jalade-Ekeinde

Inawezekana hujui mengi sana kuhusu Nollywood ya Nigeria, nimefanya jitihada ya kukusogezea kile nilichokipata kuhusu Industry hiyo, yafuatayo yatakuacha hoi mtu wangu!

zzzzz

Movie zinazotengenezwa Nollywood sasa hivi zimefika levo za kuuzwa kimataifa, wakiwa wanatengeneza zaidi ya movie 500 kwa mwezi za stori zinazohusu mapenzi, visa na visasi, comedy na uchawi, Nigeria pia ni nchi ambayo kwa wiki tu ina uwezo wa kutengeneza movie 50 na 30 zenye vigezo vya kimataifa.

Nollywood-cnn

Ripoti iliyotolewa na Umoja wa Mataifa Tume ya Kimataifa ya Biashara inasema kwamba tasnia ya filamu Nigeria inachangia karibia dola Millioni 600 kwenye pato la taifa kwa mwaka ikiwa ni tasnia inayotengeneza zaidi ya movie 1,200 kwa mwaka na pia ni tasnia ya pili kwa ukubwa wakiongozwa na India.

Ripoti hio imeweka wazi kuwa Nollywood ni sekta kubwa ya pili inayoongoza kwa kutoa ajira Nigeria ikiongozwa na sekta ya kilimo.

Unahitaji chochote nachokipata kikufikie? jiunge na mimi kwenye Twitter, Facebook naInstagram kwa kubonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

Harmonize aibua mapywa, afichua ya Dada wa Diamond, aeleza alivyoshiriki kwenye wimbo huu mpya

Tazama Diamond ‘Sheikh Mansoor’ akiwapokea Watoto wake Airport na Rolls Royce ‘Tiffah na Nillah’

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo July 10, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Asamoah Gyan katua China, unajua analipwa kiasi gani kwa wiki?
Next Article Kama uliikosa hotuba nzima ya Rais Kikwete July 9 2015.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
Magazeti June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?