Spika wa Bunge Kauweka wazi mpango huu ili kuwatambua walevi bungeni
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. May 23 2016 tayari nimezikusanya na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 23, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Nape Nnauye alivyoshuhudia Wema Sepetu kujiweka karibu na mashabiki zake
Mwigizaji Wema Sepetu May 22 2016 ametangaza mpango wake mpya wa kujiweka karibu na mashabiki zake kupitia teknolojia ya APP na SMS ambapo Waziri wa michezo Nape Nnauye alihudhuria na…
Baada ya kutwaa Laliga, FC Barcelona wametwaa Kombe la pili leo May 23 2016
Baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Hispania kwa klabu ya FC Barcelona ya Hispania kufanikiwa kuibuka na Mabingwa, usiku wa May 22 2016 walifanikiwa kutwaa taji la pili baada ya kufanikiwa…
Comment ya bilionea kijana Afrika baada ya Simba kumaliza msimu bila Kombe na kipigo
Msimu wa 2015/2016 wa Ligi Kuu soka Tanzania ndio ulikuwa msimu ambao Simba wamepewa majina ya utani mengi zaidi kutoka kwa wapinzania wao wa jadi klabu ya Dar es Salaam…
PICHA 20: Jipya kubwa kutoka kwa Wema Sepetu kwa ajili ya Mashabiki wake
Staa wa Movie Bongo, Wema Sepetu ambaye amekuwa akizichukua headlines mara kwa mara, Sasa amezidi kupiga hatua nyingine ambayo inamfanya aingie kwenye rekodi kwa kuwa staa wa kwanza Tanzania na…
Rasmi msimu ujao Ligi Kuu Tanzania bara hatutaziona timu kutoka Tanga
May 22 2016 headlines kwa upande wa wapenda soka Tanzania ilikuwa ni habari kuhusu soka la Tanga, ambapo leo haikuwa siku nzuri kwa wapenda soka la mkoa huo, May 22…
PICHAZ 17: Kutoka katika fainali za kumtafuta Miss Dar City Center 2016
Usiku wa May 21 2016 fainali ya kumtafuta mrembo wa Miss Dar City Center kwa mwaka 2016 zilifanyika katika ukumbi wa Millenium Tower Kijitonyama, huenda wewe ukawa ni moja kati…
VIDEO: Kauli ya Van Gaal iliyodhihirisha anaondoka Man United wakati akitoka katika hotel ya timu
Kuna uwezekano mkubwa sana ndani ya wiki hii uongozi wa Man United uliyokuwa umekaa kimya kwa muda mrefu, ukatoa taarifa rasmi kuhusu hatma ya kocha wao Louis van Gaal, kwani…
Ni kweli viongozi wa serikali hawatapokelewa kwenye msiba wa Kabwe? ukweli upo hapa
Familia ya aliyekuwa mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam Wilson Kabwe leo May 22 2016 imeamua kutoa tamko au taarifa rasmi kwa vyombo vya habari kuwa, habari zilizosambaa katika…