Jamaa alikuwa anafanya jaribio la kuingia Ikulu ya Marekani na bunduki, kilichofuatia …
Mtu mmoja ameripotiwa kupigwa risasi nje ya uwanja wa Ikulu ya Marekani baada ya kukaribia kituo cha ukaguzi na bunduki na kukataa amri ya kuishusha. Taarifa zinasema mtu huyo alipelekwa…
Comment ya Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli kumfuta kazi Charles Kitwanga
Stori kubwa ambayo imeingia kwenye headlines jioni ya May 20 2016 lakini pia inatarajiwa ndio itakaa katika kurasa za mbele za magazeti ya kesho May 21 2016, ni kuhusu uamuzi…
Picha7: Mnara wa majina ya watu waliozama na meli ya mv Bukoba Bwiru Mwanza.
May 21, kila mwaka Tanzania ni kumukumbu ya ajali ya meli ya Mv. Bukoba iliyozama ndani ya ziwa Victoria ikitokea Bukoba mkoa wa Kagera kuja Jijini Mwanza na zaidi ya Watanzania 1,000…
VIDEO: Hii ndio Video ya Waziri Kitwanga akijibu maswali Bungeni na kudaiwa alikuwa kalewa
Moja ya stori kubwa Tanzania leo May 20 2016 ni pamoja na hii ya maamuzi ya Rais John Pombe Magufuli kutengua uteuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles…
VideoMPYA: Baada ya Director Nisher, itazame Arosto ya G Nako chini ya Hanscana
Mkali kutoka kampuni ya Weusi G Nako May 20 2016 ameingia kwenye headlines, baada ya kuachia video mpya ya hit Single yake ya Arosto, G Nako ameachia video hiyo aliyowashirikisha…
BreakingNEWS: Rais Magufuli amefuta uteuzi wa waziri
May 20 2016 habari zilizoingia katika headlines ni maamuzi ya Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kuamua kutengua uteuzi wa wa…
Baada ya FC Barcelona kushinda Laliga, Ronaldo alimtumia Neymar meseji Whatsapp
Headlines mpya zilizoingia katika magazeti ya Hispania leo May 20 2016 ni kuhusu staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo, staa…
VIDEO: Mambo matatu ya Mbunge William Ngeleja kuhusu kwa Wizara ya Nishati na Madini
May 20 2016 bunge la 11 limeendelea kujadili bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini, baadhi ya wabunge wamepata nafasi ya kuchangia maoni na maombi ya nyongeza akiwemo Mbunge wa…
VIDEO: Ligi Kuu Ulaya zimemalizika, angalia magoli 100 bora yaliofungwa msimu wa 2015/2016
Ligi Kuu za soka nyingi duniani zimemalizika ila wakati wa Ligi Kuu na mashindano mbalimbali yakiendelea tulikuwa tukishuhudia magoli mengi yakifungwa kwa ufundi na stahili tofauti tofauti, mtu wangu wa…
VIDEO: Exclusive ya Mbunge Goodluck kasema na wanaoponda kauli yake ya sanamu ya Diamond
Baada ya headlines nyingi kuandikwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kauli ya Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga alipokuwa akichangia katika bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo…