VIDEO: Kuanzia mashabiki wa Chelsea wachezaji wamepamba kuipa Ubingwa Leicester City
Usiku wa Mei 2 2016 kuamkia Mei 3 2016 ulikuwa ni usiku wa kihistoria katika soka la Uingereza, tunaweza kuita ulikuwa usiku wa kihistoria kutokana na Ligi Kuu Uingereza kufanikiwa…
Trending Worldwide: Mayweather kurudi ulingoni? Selfie inaweza kukusababishia kupoteza maisha
Huenda hukupata nafasi ya kusikiliza Amplifaya ya Clouds Fm Mei 2 2016 kutokana na kukosa time, lakini mtu wangu wa nguvu naomba nikuletee stori mbili zilizoingia kwenye headlines za Trending World…
Hii ndio klabu ya kwanza kupanda Ligi Kuu Uingereza msimu ujao 2016/2017
Wakati Ligi Kuu Uingereza ikiendelea kwa vilabu vya Tottenham Hotspurs na Leicester City kuchuana kwa karibu katika mbio za kuwania Ligi Kuu Uingereza, huku vilabu vya Newcastle United, Sunderland, Norwich City vikiwa katika…
VIDEO: Baada uhusiano wa Cuba na Marekani kurejea hii ndio hatua waliyoanza nayo
Ni zaidi ya miongo mitano Cuba na Marekani hazikuwa katika uhusiano mzuri lakini hivi karibuni Rais wa Marekani Barack Obama alifanya ziara ya siku 3 iliyolenga kurekebisha uhusiano huo, ziara hiyo…
VIDEO: Wanaotaka Makao Makuu kuhamia Dodoma, Rais Magufuli ana hii kauli
Mei 1 2016 Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (MEI MOSI) yalifanyika kitaifa mkoani Dodoma na mgeni rasmi akiwa ni Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Watu mbalimbali walijitokeza katika viwanja…
Mahakama ya Kisutu imetoa hati ya kukamatwa meya wa Kinondoni, kisa?
Mei 2 2016 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imetoa maamuzi ambayo yameingia kwenye headlines, baada ya kuamua kutoa hati ya kutaka mikono ya sheria imkamate meya wa Kinondoni Boniface Jacob…
Baada ya Daraja la Nyerere ‘Kigamboni’ kuanza kutumika, watumiaji wategemee hiki
April 16 2016 ni siku ambayo wakazi wa kigamboni walianza kulitumia daraja la ‘Nyerere’ Kigamboni na baaadae Daraja la Nyerere ‘kigamboni’ lilifunguliwa rasmi April 19 2016 na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania…
Watumishi hewa wamesababisha RC Makonda kufanya maamuzi haya leo…
Mei 2 2016 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda amewaapisha wakuu wa idara na maofisa utumishi wote wa manispaa hiyo ili kusaidia kubaini watumishi hewa. Makonda kafikia hatua…
LEAKED: Ngoma mpya ya Harmonize & Raymond ‘Penzi’, unaweza kuisikiliza hapa
Wakati ngoma za ‘Bado’ ya Harmonize ft Diamond inaendelea kufanya vizuri na ‘Kwetu’ ya Raymond inaendelea kufanya vizuri, leo Mei 2 2016 Harmonize na Raymond wameingia kwenye headlines baada ya…
VIDEO: Miaka 7 iliyopita tarehe kama ya leo Mei 2, Real Madrid walikutana na kipigo cha goli 2-6 dhidi ya FC Barcelona
Ulimwengu wa soka miaka 7 iliyopita tarehe kama ya leo Mei 2 2016 inakumbuka mchezo wa kihistoria ambapo kwa Hispania unaitwa mchezo wa El Clasco uliokuwa unazihusisha timu za Real…