Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 18, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 18 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Hispania imetangaza kikosi kitakachoshiriki EURO 2016, list ya mastaa walioachwa
Bado zimebaki siku kadhaa kabla ya michuano ya mataifa ya Ulaya (EURO 2016) kuanza kuchezwa michuano ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inatarajiwa kufanyika…
VIDEO: Sky Sports News wameripoti Man United kuwa na maamuzi haya kuhusu Jose Mourinho
Bado jina la kocha wa zamani wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho limekuwa likitajwa kwa ukaribu katika mbio za kuwania nafasi ya kocha wa sasa wa Man United Louis van…
Staa wa NBA ana maamuzi mapya baada ya kuwaita nyani Golden State Warriors
Mchezaji wa kikapu Marekani (NBA) Steven Adams wa timu ya Okhlohamio City ameomba radhi baada ya kuwaita ‘nyani wadogo’ wachezaji wa timu pinzani ya Golden State Warriors waliowafunga bao 108-102. Adams aliyasema maneno…
Video: Mpango wa Paul Makonda kwenye magari mabovu aliyoyakuta Ofisini kwake
Chama cha Mafundi Magari Wilaya ya Kinondoni wameungana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda katika utengenezaji wa jumla ya magari 8 ambayo Mkuu wa Mkoa alipoingia katika…
VIDEO: Vurugu zilivyotokea leo kwenye Bunge la Afrika Kusini baada ya wapinzani kupinga Rais asihutubie
Watu wa usalama katika bunge la Afrika Kusini wamewaondoa wabunge wa Upinzani wa chama cha Economic Freedom Fighter baada ya kujaribu kuzuia Rais Jacob Zuma asihutubie. EFF wamesema Rais Zuma…
Achana na headlines za sukari kufichwa, wafanyakazi kiwandani wanamipango tofauti
May 17 2016 headlines mpya ambazo imezifikia millardayo.com ni kuhusu sukari, baada ya kuwepo na headlines nyingi kuhusu baadhi ya wafanyabiashara kutuhumiwa na wengine kukamatwa kutokana na kosa la kuficha…
Abiria ndege ya ATCL waliotakiwa kusafiri kwenda Comoro wamekwama kuondoka kwa siku sita
Abiria zaidi ya 80 waliotakiwa kusafiri na ndege ya shirika la ATCL kwenda Comoro wamekwama kusafiri baada ya Ndege ya Shirika la ATCL waliyotakiwa kusafiri nayo kuharibika. Shirika la ATCL wamesema…
Kesi ya aliyemtukana Rais Magufuli Facebook imeendelea leo May 17 2016
Kesi inayomkabili Isaac Abakuk ambaye anatuhumiwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook imeendelea leo May 17 2016 kwenye Mahakama Kuu kanda ya Arusha ambapo ushahidi umekamilika na…
VIDEO: Huu ndio mchanganuo wa Trilioni 4 ulioombwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, na leo May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. …