VideoFUPI: Baada ya post zao kuingia kwenye headlines Vanessa na Shilole wameyaongea haya..
Headlines zilianza kuandikwa siku ya May 17 2016 baada ya mastaa wawili kutoka kiwanda cha bongoflevani kurushiana maneno katika post zao walizozipost kwenye mtandao wa Instagram, Stori ilianzia kwenye Picha,…
Uliisikia ishu ya Nikki wa Pili kumuandikia Mistari Joh Makini? Nikki wa Pili kayazungumza haya
Kama ulikuwa umewahi kuzisikia story za Nikki kumuandikia Joh Makini mistari leo Nikki mwenyewe kaamua kulizungumzia. Kutoka kwa Perfect Crispin ambaye ni mtangazaji wa Clouds FM ametusogezea stori hii ya Nikki wa Pili na…
Miaka miwili baada ya kutekwa wasichana 276 na Boko Haram, mmoja apatikana akiwa mjamzito
Kama unazikumbuka story za kundi la Kigaidi la Boko Haram kuteka wasichana 276 Nchini Nigeria, sasa leo taarifa zilizopatikana ni kwamba binti mmoja amepatikana baada ya miaka miwili. Binti huyo kwa…
List ya wachezaji 26 walioitwa Taifa Stars, Cannavaro bado yupo katika mipango ya Mkwasa
Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa leo May 18 ametangaza kikosi cha wachezaji 26 watakaojiandaa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Harambee Stars na…
VIDEO: Dakika 5 za Mbunge anayesema hataki ishu za Viwanja vya ndege
Bunge la 11 limeendelea Dodoma, May 17 2016 ilikuwa ni zamu ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kuwasilisha hotuba yake pamoja na kuomba kupitishiwa bajeti yake ijayo. Kazi iliyofanywa na…
VIDEO: Wewe ni Bingwa wa kupiga Selfie? mtazame huyu alivyoweka rekodi yake
Kijana Hugo Cornellier raia wa Canada ameingia kwenye headlines baada ya kugundulika kuwa amekuwa na desturi ya kujipiga picha (selfie) kwa muda wa miaka nane na nusu mfululizo tangu akiwa na miaka 12…
VideoMPYA: Kutokea 254, Alicios Theluji na Kidum wanatualika kuitazama ‘Pete’
Mrembo mwenye asili ya Kongo lakini makazi yake ni Kenya Alicious Theluji leo May 18 2016 anatualika kuitazama video yake mpya ‘Pete’ ambayo amemshirikisha Kidum, Mtu wangu usisahau kuniachia comment…
Instagram: Aliyoyaandika Vannesa Mdee baada ya post mbili za Shilole kwenye mtandao wa Instagram
Headline zinachukuliwa na Warembo kutoka Kiwanda cha Bongoflevani na hii ni baada ya May 17 2016 Shilole kupost picha kwenye Account yake Instagram ambayo wengi wametafsiri ni dongo kwa msanii…
Top 10 news kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania leo May 18 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
AUDIO: Ikitokea Mkwasa akamuita Cannavaro Taifa Stars, mwenyewe ana maamuzi haya
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Nadir Haroub Cannavaro kutangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa ya Tanzania kutokana na kuvuliwa unahodha…