Vitu Rais Magufuli amesema alipohojiwa na Waandishi IKULU leo
Wakati unaendelea kusubiri AyoTV ikuwekee Full video ya Rais Magufuli alivyoyajibu maswali ya Waandishi wa habari IKULU kwenye kutimiza kwake mwaka mmoja toka aingie IKULU, hizi ni baadhi tu ya…
AyoTV BUNGENI: ‘Rais JPM alishasema hana urafiki na wakwepa kodi’ – Ulega
Kama hupendi habari za bunge zikupite, hii ni miongoni mwa habari za bunge leo November 4 2016 ambapo Mbunge wa Mkuranga Abdallah Ulega aliyoyaongea yote yako kwenye hii video hapa…
‘Aliebakwa na kuuwawa ni mwingine sio mimi’ – Lilian
November 3 2016 zilisambaa stori za kuuwawa kwa mrembo Lilian ambaye ni miongoni mwa waliotokea kwenye video ya wimbo wa Diamond na Rayvanny 'salome' Ukweli ni kwamba Lilian sio Msichana…
AyoTV MAGAZETI: Undani wa habari zote za Magazeti ya TZ November 4 2016
Kila asubuhi AyoTV inakukutanisha na magazeti ya Tanzania kuhakikisha unazipata zote kubwa zilizoandikwa ndani, za leo ziko kwenye hii video hapa chini ikiwemo kitimtim cha Bilioni 2.7 bungeni, Polisi na Mbunge Godbless…
Magazeti ya Tanzania November 4, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
November 4 2016 naanza kukusogezea post zote kubwa kwenye zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye,Udaku, Hardnews na Michezo ili uje kinachoendelea Mtu wangu usiache kukaa karibu yangu kwenye Facebook, Twitterna…
‘Tutatoa ushahidi wa zawadi za milioni 10 kwa Wabunge wa CCM’ – Freeman Mbowe
Kambi ya upinzani bungeni imewashutumu Wabunge wa chama cha mapinduzi (CCM) kwamba wamehongwa mamilioni ya fedha (milioni 10 kila Mbunge) ili kupitisha muswada wa huduma za habari unaobishaniwa. VIA Azam…
VIDEO: Mbunge Lusinde alivyosimama kusema anawapongeza Upinzani
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde hajapendezwa na baadhi ya wabunge kukosoa utendaji kazi wa Rais John Pombe Magufuli pamoja na watendaji wake na ameamua kuyaongea haya >>> 'wanaposimama kusema serikali imefilisika…
U HEARD: Bondia alivyochelewa Ndege DSM baada ya Polisi kuambiwa kabeba Unga
U Heard ya XXL Clouds FM leo ipo na Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa Dullah Mbabe ambaye inaelezwa alishindwa kusafiri kwenda Ujerumani kwenye pambano la kutetea mkanda wa WBC…
Shabiki wa kike aliyekuwa akimsumbua Chris Brown asomewa mashtaka
Mwimbaji staa Chris Brown alifungua kesi dhidi ya shabiki Danielle Patti ambaye alikua akienda nyumbani kwake bila ruhusa ama mualiko wowote na kumsumbua Chris. Danielle Patti alianza kuonekana nyumbani kwa Chris…
VIDEO: Mshiriki wa Miss Tanzania kuhusu Deal alilosaini na kampuni ya PII
Baada ya mashindano ya miss Tanzania 2016 kumalizika hivi karibuni ambapo Fainali zake zilifanyika kwenye jiji la Mwanza kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwa mashindano hayo miaka zaidi ya…