VIDEO: Naibu spika vs Mbowe bungeni baada ya kumuuliza swali Waziri mkuu
Vikao vya bunge vimeendelea tena leo November 3 2016 Dodoma, Mbunge wa Hai (CHADEMA) ambaye ni kiongozi wa upinzani bungeni Freeman Mbowe aliuliza kwa Waziri mkuu kuhusu kikao kilichofanyika October…
Tamko la ACT Wazalendo kuhusu mikopo elimu ya juu na watoto wa maskini (+video)
Wakati suala la mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu likizidi kuchukua sura mpya kila siku, leo November 3 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana na waandishi wa habari na…
VIDEO: Mambo 6 ya mbunge Goodluck Mlinga kwa serikali ya JPM
Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga ni kati ya wabunge waliosimama bungeni Dodoma kuchangia mapendekezo ya mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka wa fedha ambapo haya ndio mambo yake sita…
Picha za utotoni za Wanigeria Davido, Tiwa Savage na Wizkid
Ni kumbukumbu ya mastaa wa Nigeria Davido, Wizkid na Tiwa Savage kwenye picha zao za utoto ambapo Tiwa Savage kwa sasa ana umri wa miaka 36, Davido miaka 23 na…
HEKAHEKA: Kuhusu bibi aliyefukuzwa na dada yake kisa mshirikina
HekaHeka ya LEO TENA Clouds FM leo November 3 2016 inayo stori ya Bibi Zuena kutoka Mwananyamala Kisiwani Dar es salaam. Kwa mujibu wa majirani wanasema kuwa bibi huyo alifukuzwa na…
VIDEO: Fiesta DSM ni J’mosi hii ila sitoisahau hii ya Roma na Stamina Mbeya
Msimu wa FIESTA 2016 ndio unafikia ukingoni kwa kuhitimisha na Dar es salaam November 5 yani Jumamosi hii, kabla sijatamani kujua ni kumbukumbu gani nitaachiwa na tamasha la mwaka huu…
VIDEO: Mtoto alivyoingia barabarani na gari lake la kuchezea
Imetokea huko Lishui China ambako mtoto akiwa na gari lake la kuchezea aliingia kwenye barabara ya magari tena kwenye barabaraba iliyo busy na kuendesha gari lake kuelekea upande magari yanakotokea.…
VIDEO: Dakika 6 za majibu ya Waziri mkuu kwa maswali aliyoulizwa bungeni
Ni dakika 6 za kipindi cha maswali na majibu, maswali ambayo yanaulizwa kwa Waziri mkuu na yeye anayatolea majibu ndani ya bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Dodoma... ya…
Wanawake 10 mastaa waliolipwa pesa nyingi zaidi kwenye muziki
Jarida maarufu la Forbes linalohusika na kuchapisha taarifa za watu maarufu duniani na rekodi mbalimbali leo November 3, 2016 limetaja list ya mastaa wa kike kwenye muziki wanaolipwa pesa nyingi…
Habari 10 za magazeti ya Tanzania Nov 3 2016 ambazo hutakiwi kuzikosa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya hapa kumi kubwa za leo…