Miss Tanzania namba 3 kuhusu ushindi wa Miss Tanzania 2016 (+video)
Fainali ya Miss Tanzania 2016 imefanyika Mwanza Tanzania October 29 2016 ambapo mshindi ametangazwa kuwa ni Diana Lukumai ambapo saa chache baada ya kutangazwa kwake baadhi ya watu wameonyesha kutoridhishwa na…
PICHA 10: Ujenzi wa Daraja la juu litakalotumika jijini Mwanza
Ahadi yangu iko pale pale, kila siku ni kuhakikisha haupitwi na chochote au taarifa yoyote kutoa popote duniani. Kwa jiji la Dar es salaam sio kitu kigeni kabisa kuwepo kwa…
VIDEO: Ajali ya Basi na Lori Kimara Dsm, yote yameteketea kwa moto
October 30 2016 maeneo ya Kimara Stop Over Dar es Salaam imetokea ajali ambayo imehusisha basi la abiria la Safari Njema (T990 AQF) ambalo limegongana na lori T534 BYJ ambapo magari yote yaliteketea…
Kilichosemwa na Umoja wa Mataifa kuhusu Kenya kuondoa adhabu ya Kifo
Siku chache baada ya Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kubatilisha hukumu ya Kifo na kuwa kifungo cha maisha jela, Umoja wa Mataifa umepongeza maamuzi ya Kenya juu ya kufuta adhabu ya…
Rais Dkt. Magufuli kufanya ziara ya pili nje ya nchi
Kesho October 31 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ataanza ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Kenya kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri…
PICHA 16: Kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori Dar October 30
October 30 2016 maeneo ya Kimara Stop Over Dar es Salaam imetokea ajali ambayo imehusisha basi la abiria liitwalo Safari Njema lenye namba ya usajili T 990 AQF ambalo limegongana na lori…
PICHA: Yanga wachukua point tatu na goli tatu dhidi ya Mbao FC leo Oct 30
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania bara klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo October 30 wamerudi dimbani kucheza mchezo wao 12 wa Ligi Kuu soka Tanzania bara…
Dalili 10 ukiziona tu, tambua unakaribia kufukuzwa kazi.
Jumapili October 30, 2016 Wataalamu wa mambo ya Saikolojia wametuletea hii kuhusu dalili ambazo ukiwa mfanyakazi au muajiriwa kwenye kampuni yoyote halafu ghafla ukaanza kuona kuna mabadiliko kwa maboss wako…
VIDEO: Fainali ya Miss Tanzania 2016 mwanzo mwisho kutoka Mwanza
Fainali ya Miss Tanzania 2016 imefanyika kwenye jiji la Mwanza kwa mara ya kwanza toka kuanzishwa kwa mashindano hayo miaka zaidi ya ishirini iliyopita, Miss Tanzania 2016 ametangazwa kuwa ni…
PICHA: Gari 5 za gharama duniani kwa mwaka 2016
Nafahamu nina watu wangu ambao wanapenda kununua magari mazuri na yenye thamani za juu, hivyo mtandao wa digitaltrend.com umetaja magari yenye thamani ambayo unaweza kuyanunua kwa mwaka 2016 na ukihitaji…