Maneno ya Baraka baada ya comment ya Msami kuhusu Naj
Kama wewe ni mpenzi wa kufuatilia wasanii wako wa bongoflevani, kumekuwa na headlines kuhusu Baraka the Prince kupanick na kumjibu maneno yasiofaa Msami baada ya kucomment kwenye picha ya mpenzi…
Suarez kataja sababu ya kwa nini anafikiria hawezi kushinda Ballon d’Or daima
Jina la Luis Suarez wa FC Barcelona limegonga headlines tena baada ya kuripotiwa na mtandao wa ESPN kuwa Suarez anaamini hawezi kushinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia maarufu kama…
Baada ya miezi kadhaa ya kukubaliana dili jipya, Neymar kafanya maamuzi
Ni miezi kadhaa imepita toka nahodha na mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya taifa ya Brazil Neymar kutangazwa kufikia makubaliano na klabu yake ya FC Barcelona ya kuongeza mkataba, ila…
AUDIO: Jeshi la polisi Mwanza limemkamata askari feki
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Ahmed Gabo umri wa 22 kwa tuhuma za kukutwa amevaa sare za jeshi la Polisi kinyume na sheria, Gabo anadaiwa kuiba sare hizo,…
VideoMPYA: Ni time ya kuienjoy video mpya ya Tekno ‘Diana’
Mtu wangu wa nguvu kama wewe ni fan wa Tekno siku chache alitoa hit song yake mpya ya 'Diana' sasa leo nakusogezea video yake ambayo ulikuwa ukiisubiria . nimekuwekea hapo…
Maamuzi ya Waziri Charles Mwijage kuhusu Shirika la Viwango Tanzania TBS
Siku chache baada ya kutoa taarifa kwamba Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji imeanza ukaguzi wa makontena Bandarini, Waziri mwenye dhamana Charles Mwijage ameahidi kuliunda upya shirika la viwango Tanzania…
VIDEO: Kauli tatu za Manji kabla ya mkutano mkuu wa dharura October 23 2016
Siku mbili kabla ya mkutano mkuu wa dharura wa klabu ya Dar es Salaam Young Aficans kufanyika siku ya October 23 2016 makao makuu ya klabu hiyo, mwenyekiti wa klabu…
PICHA 10: Rais Magufuli alivyoweka jiwe la msingi hosteli za wanafunzi UDSM
Leo October 21 2016 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa mabweni 20 ya wanafunzi wa Chuo…
AUDIO: Alichokizungumza Rais Magufuli kuhusu mikopo ya wanafunzi vyuo vikuu
Baada ya kuwepo kwa hatua mbalimbali za wanafunzi wa vyuo kudai ongezeko la fedha ya kujikimu na kupatiwa mkopo kwa wanafunzi ambao hawajapatiwa mikopo na baadae Wizara kuahidi kushughulikia suala…
U HEARD: Msanii Abubakar Mzuri adaiwa kufumaniwa na mke wa mtu
October 21, 2016 Ndani ya XXL ya Clouds FM, Mtangazaji Soudy Brown amepiga story na inayedaiwa kuwa ni mke wa msanii maarufu kwa jina la Mjomba. Stori kubwa ni kuhusu…