VIDEO: Mama wa mtoto mwenye kipaji asema kwa Bukoba hajaona shule ya kumpeleka
Mtu wangu inawezekana ulikutana nacho kipande cha video ambacho kilianza kwa kusambaa mtandaoni kikimuonyesha mtoto ambaye ana uwezo wa kuwataja viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi sasa wazazi…
Habari ya The Sun iliyomkwaza Raiola kuhusu Pogba na girlfriend wake
England ni moja kati ya nchi ambazo wanasoka wakubwa wanaojiunga na Ligi hiyo hupata wakati mgumu kutokana na kutajwa kuwa vyombo vya habari vya England vinawafuatilia sana, moja kati ya…
VIDEO: Mbunge Lema alivyosimama kupinga hotuba ya RC Gambo
Leo October 18 2016 kumefanyika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi katika hospitali ya mama na mtoto inayojengwa eneo ya Burka nje kidogo ya jiji la Arusha, lakini shughuli hiyo…
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi leo October 18 2016
October 17 2016 iliripotiwa taarifa iliyomhusu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Emmanuel Mkumbo ambapo ilisema kuwa Mkurugenzi huyo amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Mororgoro kwa mashtaka…
U HEARD: Alichokisema Shemeji wa Najma kuhusu nyumba ya Barakah Da Prince
October 18, 2016 U Heard ya Clouds FM ndani ya XXL, Mtangazaji Soudy Brown amepiga story na msanii Alawi Junior ambaye ni shemeji wa girlfriend wa hitmaker Barakah Da Prince,…
VIDEO: Mengine yaliyosemwa na Polisi Dodoma kuhusu wauaji 13 wa watafiti
October 18 2016 Jeshi la Polisi Dodoma limetoa taarifa kwa vyombo vya habari Kuhusu hatua ya kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 13 kwa kosa la mauaji ya watafiti wa udongo watatu kutoka…
VIDEO: Shamba la bangi hekari 8 labainika Arusha, viongozi wa eneo hilo wahusishwa
Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Alexender Pastory Mnyeti ameamuru kukamatwa kwa kwa diwani wa kata ya Lemanyata Losyeku Kilusu Arusha, wenyeviti wa vitongoji saba, wenyeviti wa vijiji watatu kwa kujihusisha…
China yaongoza kwa uchangiaji wa viungo vya binadamu duniani..
October 18 2016, Mtu wako wa nguvu nimeipata ripoti hii kutoka mkutano wa kimataifa wa uchangiaji viungo vya binadamu wa mwaka 2016 ambapo imeelezwa kuwa hadi kufikia tarehe 30 Septemba,…
VIDEO: Jux aeleza sababu za kwanini Diamond hampost Instagram…
Kazi yangu nikuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia mtu wangu na leo October 18 2016 ni hii stori kutoka kwa Jux ambae amefunguka kuhusu sababu za kwanini Diamond Platnumz hapost kazi…
VIDEO: Walichokifanya Quick Rocka na Darasa kwenye stage ya Fiesta Mbeya
Fiesta 2016 ni jukwaa la burudani linaloendelea kutembea kwenye mikoa mbalimbali Tanzania linalopambwa na mastaa mbalimbali kutoka bongoflevani kwenye jukwaa moja la burudani , Mtu wangu nakukutanisha na wakali wawili kutoka Bongoflevani Quick Rocka…