Habari kubwa zilizoandikwa kwenye magazeti ya leo October 14 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/786777999496609793…
MAGAZETI: Makontena 100 yaibwa bandarini, Majambazi wanne walioua polisi Mbande wauawa
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=r6qMWWoyaEQ ULIKOSA HII YA MAKONDA KUTOA MIL…
VideoMPYA: Time ya kuenjoy video mpya Davido ft Tinashe ‘How long’
Goodnews kwa wale mashabiki wa naija hit songs pia kama unamkubali Davido msanii kutoka Nigeria amerudi tena kwenye game nzima wa burudani baada ya ukimya mrefu ametuletea hii hit song mpya…
VIDEO: Maneno ya Snura kuhusu mahusiano yake na Benpol
Ni kutoka kwenye basi lililobeba Wasanii wa bongofleva wakiwa safarini kwenye show za FIESTA 2016, tamasha ambalo linafanyika kwenye mikoa mbalimbali Tanzania sasa hivi. Kwenye basi la Wasanii utajionea maongezi yao mbalimbali wakizungumzia…
VIDEO: Navy Kenzo wamevitaja vigezo wananvyoangalia kusign msanii kwenye label yao
Nikitaja list ya wasanii kutoka bongoflevani pia miongoni ma group ynayofanya vizuri kwenye game huwezi kuwaacha Navy Kenzo ambapo kwasasahivi ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania waliokuwa nominated kuwania tuzo…
PICHA 9: Muonekano wa soko jipya Mwanjelwa mkoani Mbeya
Ninajua nina watu wangu wanaopenda masoko yanayohusika kuuza bidhaa mbalimbali, sasa leo nimekutana na hili soko jipya liitwalo Mwanjelwa ambao linapatikana katika mkoa wa Mbeya.Nimekosogezea picha 9 za muonekano wa…
Magazeti ya Tanzania October 14, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 14 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
Baada ya wasichana 21 wa Chibok kuachiwa huru, 18 wamerudi na watoto….!!
Bila shaka haujaisahau hii mtu wangu, kuhusu wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na kundi la Boko Haram kutoka nchi za West Africa. Ripoti mpya zinasema kuwa wasichana kumi na nane kati…
Huyu ndiye Katibu Mkuu mpya aliyeteuliwa na Umoja wa Mataifa UN
Hatimaye imefahamika kuwa Antonio Guterres, kutoka Ureno ndiye atakayeshika madaraka ya ukatibu mkuu wa UN Januari 1, 2017 baada ya katibu mkuu wa sasa raia wa Korea Kusini Ban Ki-moon kustaafu wadhifa…
AudioMPYA: Davido katua Marekani na kukaa na Tinashe
Hatimaye Davido, staa wa hit singles kutoka West Africa, Nigeria leo October 14, 2016 ameachia single yake mpya aliyomshirikisha mwimbaji Mmarekani mwenye asili ya Zimbabwe Tinashe. Nakukaribisha kuiskiliza kwa mara ya kwanza…