VIDEO: Mlinzi wa Chris Brown Mombasa kaelezea tabia za Chris toka alipompokea
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila habari inayonifikia hii ni kutoka 254 Kenya ambapo millardayo & Ayo TV imefanikiwa kumpata Mlinzi wa Chris Brown Kenya aliehusika na usalama kuanzisha alipowasili…
Magazeti ya Tanzania October 12, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Harmonize alivyowasuprise mashabiki Fiesta 2016 Mtwara
Ni msanii kutoka Bongoflevani ambapo tarehe 8, 2016 aliingia kwenye headlines za Fiesta 2016 baada ya kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wake mkoani Mtwara ambako alipozaliwa staa huyo. Itazame…
AudioMPYA: Linah anatukaribisha kuisikiliza hii single yake mpya..
Malkia wa nguvu Linah Sanga, baada ya kuachia video ya wimbo wake uitwao Raha jipe, sasa leo pia ameingia kwenye headlines baada ya kuachia single nyingine mpya iitwayo 'Kosa Sina'.imetayarishwa…
Top10 stori zilizosikika kwenye Amplifaya ya CloudsFM Oct 11, 2016
Amplifaya ni show ya Radio ambayo husikika Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja jioni on CloudsFM ikizirusha habari kumi kubwa za siku ambazo ni mchanganyiko wa burudani, michezo, siasa, muziki…
VideoMPYA: Matonya katuletea hii video yake ‘Sugua benchi’
Ni Msanii kutoka Bongoflevani, Matonya time hii katuletea hii video ya single yake mpya iitwayo 'Sugua benchi' , video imeongozwa na director Mims. Unaweza ukabonyeza play kisha usisahau kutuandikia maoni…
PICHA: Real Madrid walivyoandaa zaidi ya Tsh bilioni 950 kwa ajili ya uwanja wao
Klabu ya Real Madrid ya Hispania imeripotiwa na mtandao wa dailymail.co.uk kuwa katika mpango wa kuukarabati uwanja wao wa Santiago Bernabeu ili kuwa wa kisasa zaidi, Real Madrid wamepanga kukarabati…
Burundi imeamua kusitisha ushirikiano wake na UN kuhusu Haki za Binadamu
Jumanne ya October 11, 2016 Nchi ya Burundi imezimiliki headlines nzito baada ya serikali ya nchi hiyo kuchukua uamuzi wa kusitisha ushirikiano wake na Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya…
Sentensi 8 za Meneja wa Diamond baada ya kudaiwa alimzimia Mic Alikiba
October 11, 2016 Amplifaya ya Clouds FM na mtu wako wa nguvu Millard Ayo imempata Sallam Jorge a.k.a Mendez meneja wa msanii Diamond Platinumz. Mendez amezungumzia issue ya yeye kuhusishwa…
VIDEO: Dogo wa miaka 10 kasajiliwa na Juventus anatabiriwa kuwa kama Messi
Klabu ya Juventus ya Italia imeoneshwa kuvutiwa na uwezo wa kucheza soka wa mtoto wa miaka 10 Rashed Al Hajjawi raia wa Palestina aliyezaliwa na kukulia Norway kutokana na kipaji chake. Rashed…