MAGAZETI: Maeneo haya Dar yatajwa hatari kwa uporaji, CUF yaja na msimamo mpya kwa Shein, CCM
AyoTV kila asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, miongoni mwa hizo ni pamoja na hizi kutoka gazeti la Nipashe zenye kichwa cha habari ‘'Maeneo…
Pichaz 10: Msimu wa Fiesta 2016 ulivyopokelewa Mtwara weekend hii
Msimu wa FIESTA 2016 weekend hii ulidondokea Mtwara kwenye usiku wa Jumamosi kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ambapo jadi ya kuendeleza burudani ilikamilishwa na wakali wa bongofleva akiwemo Mr. Blue,…
VIDEO: Vanessa Mdee alivyotumbuiza kwenye Mombasa Rocks Music Festival
Unakaribishwa kuona Vanessa Mdee alichokifanya kwenye stage ya Mombasa Rocks Music Festival Mombasa Kenya ambako Chris Brown, Wizkid, Alikiba na Navio walitumbuiza, tazama hii video hapa chini https://www.youtube.com/watch?v=ELKaouvDoVE&feature=youtu.be ULIIKOSA HII…
PICHA 11: Chris Brown, Vanessa Mdee, Alikiba walivyonogesha Mombasa Rocks Festival
Historia ya burudani imeandikwa na Wakenya October 8, 2016 baada ya kupata burudani kali ya nguvu kutoka kwa msanii wa Marekani, Chris Brown kwenye tamasha liitwalo Mombasa Rocks Festival huku…
Magazeti ya Tanzania October 9, 2016 kuanzia, Hardnews na michezo
October 9 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Daniel Sturridge na Dele Alli wameipa ushindi England dhidi ya Malta
October 8 2016 mechi za kuwania kufuzu kucheza Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa mataifa ya Ulaya ziliendelea kama kawaida, October 8 inapigwa michezo tisa kama ilivyopigwa October 7 2016, timu…
VIDEO: Barabara 3 zilizofungwa kupisha show ya Chris Brown Mombasa Kenya
Ni October 8, 2016 ambapo Mombasa Kenya wanalo Tamasha kubwa na mgeni mkuu ni mwimbaji Chris Brown wa Marekani ambapo kutokana na ukubwa wa tukio lenyewe, imebidi barabara tatu zifungwe ili…
VIDEO: Mwenyekiti wa chama cha upinzani Kenya aeleza wakenya wanavyoona utendaji wa JPM
Ikiwa Rais Magufuli ametimiza mwaka tangu achukue madaraka ya kuongoza nchi huku sifa za utendaji wake zikienea Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla. leo October 8 2016 chama cha ACT…
VIDEO: Mapendekezo ya Zitto Kabwe kuhusu kuboresha suala la Elimu nchini
Leo October 8 2016 chama cha ACT Wazalendo kimefanya mkutano mkuu wa kidemokrasia katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa Posta Jijini Dar es salaam. Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto…
Aliyoyazungumza Zitto kwenye mkutano mkuu wa kidemokrasia wa ACT
Leo October 8 2016 chama cha ACT Wazalendo kimefanya mkutano mkuu wa kidemokrasia katika ukumbi wa makumbusho ya Taifa Posta Jijini Dar es salaam. Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto…