Magazeti ya Tanzania October 6, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Kinachochelewesha Farid Musa kwenda kucheza Tenerife ya Hispania
Kama utakuwa unakumbuka vizuri Farid Musa wa Azam FC alifuzu majaribio katika klabu ya Tenerife ya Hispania na alitakiwa kurudi, afisa habari wa Azam FC Jafari Iddi ana majibu ya kwa…
AudioMPYA: Vanessa Mdee Na Jux wametuletea hii single yao mpya
Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux & Vanessa Mdee inawezekana labda aina ya muziki wanaoufanya kuwagusa wasichana wengi.…
VideoMPYA: DJ Khaled ametuletea hii Video yake mpya – Do You Mind
Baada ya kuhost show ya utoaji wa tuzo za BET Hip Hop 2016 zilizorushwa usiku wa kuamkia October 5, 2016 na kuibuka na tuzo tatu ikiwemo ya DJ of The…
VIDEO: TFF walivyotangaza kuipiga faini Simba, Haji Manara na Azam FC
Shirikisho la soka Tanzania TFF leo October 5 2016 kupitia kwa afisa habari wake Alfred Lucas imetangaza maamuzi yaliofikiwa na kamati kuhusiana na mchezo wa Simba naYanga uliochezwa October 1 2016…
VideoMPYA: Shilole anatukaribisha kuitazama hii video yake mpya
Ni October 5, 2016 ambapo Shilole anaziandika headlines kwenye Bongo Fleva kwa kuachia video mpya ya single iitwayo Mtoto mdogo aliyomshirikisha mkali wa nyimbo za Singeli maarufu kama Man Fongo. imetayarishwa…
VIDEO: Bodi ya Wadhamini yawaendea Mahakamani Profesa Lipumba, Msajili
Leo October 5, 2016 nimeipata stori hii kutoka Bodi ya udhamini ya chama cha wananchi CUF kuhusu kufungua kesi mahakama kuu dhidi ya msajili wa vyama vya siasa nchini pamoja…
PICHA 3: Mchina afariki baada ya kukandamizwa na mtambo wa kushindilia lami Arusha
Ujenzi wa barabara ya kuanzia Tengeru Arusha hadi Taveta Voi ya ukubwa wa km 234.3 iliyozinduliwa March 3 mwaka huu na Rais John Magufuli, wakati ujenzi ukiendelea kumetokea ajali ambapo…
Shomari Kapombe nje wiki tatu
Klabu ya Azam FC leo October 5 2016 kupitia kwa mkuu wake wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu hiyo Jafari Iddi Manganga amethibitisha kupokea taarifa kutoka kwa daktari…
Rais Magufuli afanya tena ziara ya kushtukiza Airport Dar es salaam
Leo October 5 2016 Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila Kabange amemaliza ziara yake ya kiserikali ya siku tatu hapa nchini na kurejea nchini kwake. Katika uwanja wa…