UPDATES: Taarifa kuhusu hali ya kiafya ya Rigobert Song
October 4, 2016 Mtu wangu wa nguvu nakusogezea updates kuhusu afya ya beki wa kati na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon, Rigobert Song ambaye mwishoni mwa…
Habari kubwa kwenye magazeti ya October 4 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Siri ya kijana mtoboa macho Buguruni Dar, Mwingereza atibiwa virusi vya Ukimwi lakini…
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo October 4 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=X6930Lg2z3o ULIKOSA ALIYOYAZUNGUMZA JULIUS MTATIRO KUHUSU MGOGORO WA…
Rayvanny aeleza furaha kutajwa kuwania MTV MAMA 2016
Ni mwimbaji mwingine staa wa bongofleva, makofi mengi amepigiwa kwenye utunzi pamoja na ukali wa melody, anaitwa Rayvanny kutoka WCB ambaye ngoma yake ya kwanza kuiachia toka yuko chini ya…
Sababu za Wastara kurudiana na mpenzi wake wa zamani
Mwigizaji Wastara aliwahi kuingia kwenye vichwa vya habari Tanzania kutokana na ndoa yake kuvunjika ndani ya siku 80 akiwa kaolewa na Mbunge wa Zanzibar. Kabla ya ndoa hiyo Wastara alikuwa…
VIDEO: Naibu spika Dk. Tulia katangaza kuiendeleza jadi
Najua kuna watu wangu wana love ya kutosha pale wanaposikia suala la burudani, yes..! kama na wewe ni mmoja wapo basi hii si yakukosa, Naibu spika Dk. Tulia Ackson ametuandalia…
VIDEO: Katarina kafunguka elimu yake mpaka kuwa mchekeshaji…..
Mchekeshaji maarufu bongo Katarina amezungumzia elimu yake ya kidato cha nne na watu kukubali kipaji chake cha kuchekesha na kuamua kuwa mchekeshaji rasmi, hii ni interview yake alipokutana na ripota…
AudioMPYA: Nedy katuletea hii single mpya aliyomshirikisha Mr Blue
Ni msanii kutoka label ya PKP ambapo time hii katuletea hii single mpya ‘Si Halali' aliyomshirikisha Mr Blue, wimbo umetayarishwa katika studio za Abby Daddy. ULIIKOSA HII YA KATARINA WA KARATU…
VideoMPYA: Davido anatukaribisha kuitazama hii video yake mpya
Jina lake kwenye passport na na vyeti vingine rasmi linasomeka hivi >>> David Adedeji Adeleke, Dunia inamtambua kwa kazi nzuri ya muziki anaoufanya, anafahamika kwa jina la Davido.. kichwa kingine kinachoibeba…
Magazeti ya Tanzania October 4, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 4 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…