Taarifa kuhusu ajali ya basi la abiria katikati ya safari Dar-Moro… RIP
Picha zimeenea kwa muda sasahivi kwenye mitandao ya kijamii zikionesha ajali ya basi huku kukiwa na taarifa tofauti kuhusu vifo na majeruhi kwenye ajali hiyo. Blog ya mwanahabari Issa Michuzi…
Tatizo la ugonjwa wa moyo lilivyopatiwa ufumbuzi Dar…(+PICHAZ)
Leo Jan 23 2016 Hospitali ya taifa Muhimbili kupitia taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda wanaendesha shughuli ya upimaji wa ugonjwa…
Baada ya katibu wa Yanga kudaiwa kujiuzulu kwa shinikizo, Klabu ya Yanga hali iko hivi (+Pichaz)
Baada ya uvumi kuenea kwa zaidi ya siku mbili sasa juu ya hatma ya katibu mkuu wa klabu ya Dar Es Salaam Young Africans Dk Jonas Benedict Tiboroha kuwa kajiondoa…
‘Hello’ ya Adele ilivyogonga headlines na kuvunja rekodi ya 17 kali zaidi Youtube..
Wimbo wa Adele umekuwa wimbo mkubwa sana, wimbo ambao huenda ukawa mmoja kati ya ngoma ambazo zimerudiwa kwa kuimbwa cover yake na watu wengi zaidi duniani… lakini unajua kwamba rekodi…
Top 10 news kutoka kwenye kurasa za Magazeti >> JPM kijeshi Arusha, ya Z’bar? Miss TZ na mengine..
Ni Jumamosi January 23 2016, kila siku kuanzia saa 12 asubuhi nakusogezea tweets za stori kubwa kwenye magazeti ya Tanzania, hapa ninazo 10 zenye nukuu za uzito zaidi kutoka kwenye kurasa…
Chidinma amefichua alivyogombana na Pastor kisa Mr Flavour
Wakati watu wanajadili mahusiano au ukaribu wa Mr Flavour na mrembo kutoka kiwanda cha muziki Nigeria Chidinma, mengi yamekuwa yakizungumzwa kuhusiana na ukaribu wa wawili hao, stori zilianza kuvuma baada…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 23 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
January 23 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Ligi Kuu TZ imesimama, ila hii ndio burudani ya soka weekend hii mtu wangu, sio ya kukosa …
Mtu wangu wa nguvu mzunguuko wa kwanza wa Ligi Kuu soka Tanzania bara umemalizika, lakini haina maana kwamba weekend hii hakuna burudani ya soka, kuna michezo kadhaa ya Kombe la…
Kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa, hii ndio list ya mastaa waliosajiliwa Uingereza …
Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha dogo la usajili la mwezi January halijafungwa kwa vilabu vya Ulaya, January 22 imenifikia ripoti ya vilabu vya Ligi Kuu Uingereza, list ya wachezaji…
VIDEO: Kamati ya Miss Tanzania inayoundwa na akina Jokate imejiondoa
Leo Jan 22 2016 Kamati ya Miss Tanzania ikiongozwa na akina Jokate Mwegelo ilikutana na waandishi wa habari na kutangaza kujitoa kwenye shindano hilo, sababu zote wamezieleza kwenye hii video hapa…