VIDEO: Maalim Seif arejea, jalada lake kwa DPP, Gharama kuhamia Dodoma zaanikwa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 05 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=-cNNzBCItgA ULIKOSA WALICHOKISEMA POLISI DAR BAADA YA KUWASILI…
Vyombo 7 vya moto na maajabu yake… usi-panic ukiona vinapita kusiko
Kila siku inaweza kuwa na vitu vipya machoni mwako, kuna vile vitu tu tumezoea kuviona kwenye mazingira ya kawaida na havitushtui tena lakini kuna vingine sio tulivyozoea na inabidi vichukue…
Meneja katudokezea Album mpya ya Diamond na vichwa vya kimataifa
'Sikusema mwaka gani inatoka ila album ipo na siku zote kitu tunachoangalia ni njia tulikuwa tumezipanga kwa album ya Diamond Platnumz kuwa Kama international album'- Meneja Sallam 'Hiyo ndio maana…
TRAILERS: Movie 5 utazikuta Cinema Dar es salaam leo Aug 5
Najua nina watu wangu tu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend kama hivi sasa kama upo Dar es salaam kuna hizi movie labda ukitazama Trailers hapa unaweza kushawishika kwenda kuzitazama.…
Magazeti ya Tanzania August 5, 2016 kuanzia Udaku, Hardnews na michezo
August 5 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA: Baada ya kuondoka, huu ni ujumbe wa Kipre Tchetche kwa Azam FC na viongozi wake
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast aliyekuwa anaichezea klabu ya Azam FCKipre Tchetche sasa ni rasmi hatoichezea tena klabu ya Azam FC katika msimu mpya unaotarajia kuanza hivi karibuni. Kipre…
AUDIO: Mambo matatu yaliomkwaza Haji Manara katika VPL msimu wa 2015/2016
Mtu wangu wa nguvu ambaye unasubiria kwa hamu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, basi taarifa ikufikie kuwa Vodacom wamekabidhi vifaa kwa timu 16 mbele ya…
Ushindi wa KRC Genk ya Samatta uliyoipeleka round ya 3 Europa League
Ni muendelezo wa good news kwa nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta kuwa sehemu ya kikosi cha KRC…
AUDIO: Sababu za TAKUKURU kumkamata Rais wa Simba
Asubuhi ya August 4 2016 taarifa zilianza kusambaa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na Rais wa Simba Evans Aveva kutiwa mikononi mwa Polisi kutokana na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia…
Maneno ya Polisi Dar baada ya kuwasili kwa Tundu Lissu leo
Agosti 3, 2016 kulikuwa na taarifa za kukamatwa kwa mwanasheria ambae ni mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu akiwa kwenye mkutano wake katika kijijini Ikungi Singida. Sasa basi mwanasheria huyo ameshawasili leo jioni Agosti 4,…