VIDEO: Maamuzi ya mwisho ya Kesi Mbunge Nassari na wenzake yametolewa leo Arusha
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru madiwani 29 na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya uharibifu wa mali baada ya upande wa mashtaka kuondoa…
VIDEO: Jux kayaongea ya moyoni kuhusu EX wake Jack Cliff
December 2013 zilitoka stori kwamba Mtanzania Jackie Cliff ambae ni mrembo aliekuwa na uhusiano na msanii wa Bongo Fleva Jux amekamatwa na dawa za kulevya huko China. Sasa najua ni…
AUDIO: Mke adaiwa kumtoroka mumewe na kuhamia kwa msanii wa Bongo Fleva
July 11 2016 kupitia Hekaheka ya Clouds FM, Geah Habib amekutana na hii ya inayomuhusu msanii kutoka bongoflevani Bob Junior kulalamikiwa na kijana mmoja ambaye anadai mke wake amemtoroka na kumuachia watoto…
VIDEO: Sheria yapitishwa wanafunzi kuingia na bunduki madarasani Texas
Kituo kikubwa cha habari BBC kimetaja mji wa Texas nchini Marekani kupitisha sheria ya wanafunzi wenye umri kuanzia miaka 21 kuruhusiwa kuingia na silaha aina ya bunduki madarasani vyuoni kwao, sababu kubwa walizozitoa ni…
Kilichojiri leo mahakamani kuhusu kesi ya Tundu Lissu
August 02 2016 Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu Dar es salaam imetangaza tarehe 28 August 2016 kuwa ndio siku itakayoanza kusikiliza kesi inayomkabili mbunge wa Singida mashariki Tundu Lissu baada ya…
DONE DEAL: Pep Guardiola kasajili staa mpya Man City
Bado headlines za usajili barani Ulaya zinazidi kuchukua nafasi kila kukicha, leo August 2 2016 klabu ya Man City ya England imetangaza kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji ambaye pia ana…
VIDEO: Mchekeshaji Erick Omondi kairudia ‘Aje’ ya Alikiba na kuifanyia hii video
Erick Omondi ni mchekeshaji kutoka Kenya ambaye amepata umaarufu Tanzania kutokana na fani yake ya uchekeshaji lakini pia utundu wake wa kuigiza na kuzirudia nyimbo za Diamond kwenye video kama…
Ulaji Chips watajwa kuwa hatari, wataalamu waeleza athari zake
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
AUDIO: Ukimuuliza Waziri Muhongo unahamia lini Dodoma atakujibu hivi…..
Rais Dk. John Magufuli wakati akikabidhiwa kijiti cha Uenyekiti wa chama cha mapinduzi 'CCM' na aliyekua Mwenyekiti wa CCM Jakaya Kikwete katika baadhi ya mambo ambayo aliongelea ni kuhusu kuhamishia Serikali…
VIDEO: Sheria inavyowagonganisha JPM, CHADEMA, Lema amvaa DC Arusha mbele ya Waziri
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo August 02 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=5Hk9KWBQ9c0 ULIKOSA HII YA SAUTI SOL KUMKUBALI RAIS…