VIDEO: Edward Lowassa kaongea haya kuhusu wabunge wa upinzani kususia vikao
Vikao vya bunge la bajeti ya mwaka 2016/2017 ambalo limemalizika hivi karibuni huku ikishuhudiwa wabunge wanaounda umoja wa katiba ya wananchi UKAWA, wakitoka nje na kutohudhuria vikao hivyo. Leo July…
Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo July 31 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Mbowe aitwa Polisi, Lowassa azuiwa Dar, JPM awagomea Kigwangalla, Bashe
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 31 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=xMuYFwv2dtY ULIKOSA RAIS MAGUFULI KUTHIBITISHA KUYAPIGA MNADA MAJENGO…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 31, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 31 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Urban hit 30 ya TRACE TV watanzania watatu tu
Leo July 31 2016 ninaendelea kukusogezea video za Bongo ambazo zinaendelea kupata airtime katika vituo vikubwa vya TV, Trace Urban hit 30 wamezitaja video tatu tu kutoka Tanzania na wasanii walioingia…
VIDEO & PICHA 8; magari yenye uwezo wa kupaa kama ndege
Najua umezoea kuona magari yanayotumika barabarani mtu wangu ila leo July 30 2016 nakusogezea magari yenye uwezo wa kupaa kama ndege ambayo tayari yanatumika katika nchi kama Massachusetts Marekani na…
PICHA 13: Vituko vya fainali ya Ndondo Cup 2016, Temeke Market Bingwa
Najua kama ni mpenzi wa soka la mchangani na upo Dar es Salaam basi najua utakuwa hujaacha kuangalia fainali ya Ndondo Cup 2016 iliyokuwa inazikutanisha timu za Kauzu FC dhidi…
PICHA 8: Rais Magufuli alivyoendelea na ziara yake Igunga na Nzega Tabora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo July 30 2016 ameendelea na ziara yake katika Mkoa wa Tabora akitokea Mkoa wa Singida. Mkoani Tabora, Rais Magufuli…
VIDEO: Wanene watangaza timu yao akiwemo director Hanscana……
Ni headlines za Wanene Entertainment July 29,2016 wamezindua rasmi studio zao za kisasa zetu gharama kubwa zilizosheheni mitambo ya kisasa.Miongoni mwa wageni waliohudhuria uzinduo huo alikuwa ni Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa…
PICHA 20: Imetajwa list ya majengo 20 ya gharama kubwa zaidi duniani
Mtandao maarufu wa Daily Mail umetaja orodha ya majengo ambayo yana thamani kubwa zaidi duniani, orodha hiyo iliyochapishwa kwenye mtandao huo July 26 2016 imetaja majengo hayo pamoja na gharama…