AudioMPYA: Mbunge Professor Jay katuletea hii single yake mpya ‘Kazi Kazi’
Ni July 27, 2016 ambapo headlines zinamilikiwa na Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor Jay kwa kuachia single yake mpya iitwayo Kazi Kazi aliyomshirikisha Sholo Mwamba. Unaweza…
Audio: BASATA imemfungia Nay wa Mitego, hakuna kufanya muziki….
Kama utakuwa unakumbuka mnamo July 16, 2016 Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) lilitoa rasmi tamko la kuufungia wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego PALE KATI kutokuwa wa…
Walichokiongea CHADEMA kuhusu serikali kuzuia mikutano ya siasa nchini
July 27 2016 Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kimekutana na waandishi wa habari Dar es salaam na kuzungumzia suala la serikali kupiga marufuku mikutano ya vyama huku wakidai ni…
Maamuzi ya mwisho ya Mahakama kuu Iringa kuhusu kesi ya mauaji ya Mwangosi
Leo July 27 2016 Mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Iringa imetoa hukumu ya kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwanahabari wa kituo cha Television cha chanel Ten, Daud Mwangosi. Mahakama…
Habari kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo July 27 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
VIDEO: Kinara Mil.7 kwa dakika sasa afikisha makosa 383, Waziri Tizeba amzidi kete Majaliwa
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo July 27 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=NDFnqxlBxi4 ULIKOSA HILI AGIZO LA WAZIRI MKUU MAJALIWA…
Mbunge ataepiga marufuku mchezo wa pooltable jimboni kwake hivi karibuni
Mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga amezungumzia mpango wake wa kupiga marufuku mchezo wa Pooltable kwenye jimbo lake la Ulanga. Kaiambia AyoTV >>> 'Nimpongeze mkuu wa mkoa Dar Paul Makonda na…
Usimsahau Marlaw, mapya yanayumuhusu yametajwa na Tudd Thomas hapa
Producer wa smash hits kadhaa za bongo ikiwemo ‘make me sing’ ya Diamond Platnumz na rapper AKA wa Afrika Kusini Tudd Thomas, ameweka wazi kuwa msanii wa siku nyingi wa bongofleva…
Baada ya Mubenga kuondoka PKP ya Ommy Dimpoz, mipango yake iko hapa
Mubenga ni jina ambalo utakua umelisikia pia kwenye nyimbo za mwimbaji staa wa bongofleva Ommy Dimpoz, amekua meneja wa Ommy wa muda sasa lakini maamuzi yake ya karibuni ni kwamba…
Majibu ya Mrisho Mpoto kwanini Hakutembea peku Mlima Kilimanjaro
Ni kawaida yake msanii Mrisho Mpoto kuonekana peku kwenye sehemu mbalimbali ambapo hivi karibuni aliamua alikwenda kwenye Mlima Kilimanjaro lakini hakutembea peku kama ilivyo kawaida yake. Picha zimesambaa na ukiona…