VIDEO: Ufafanuzi kuhusu ile pikipiki iliyopakizwa kwenye basi la mwendokasi
Baada ya picha iliyosambaa ikionyesha pikipiki iliyokuwa ndani ya basi liendalo kwa haraka jijini Dar es salaam millardayo.com na Ayo TV ilitaka kupata ufafanuzi kama jambo hili linaruhusiwa. Afisa habari…
VIDEO: Hatua iliyochukuliwa na serikali kuhusu madereva waliogoma Bukoba
July 23 2016 madereva wa mabasi ya abiria katika kituo cha mabasi mjini bukoba mkoani kagera waligoma kutoa huduma kwa lengo la kushinikiza mahakama kuwaachia madereva wenzao waliokamatwa kwa makosa ya mwendokasi.…
VIDEO: Agizo la waziri mkuu Majaliwa kwa mawaziri wote Tanzania
Kila ifikapo July 25 ya kila mwaka Tanzania huadhimisha siku ya mashujaa ikiwa kwa mara ya kwanza July 25 2016 maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa katika mkoa wa Dodoma ambapo pia mgeni…
VIDEO: Sababu za Rais Magufuli kuhamia Dodoma
July 25 2016 Serikali ya Tanzania imefanya maadhimisho ya siku ya mashujaa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Rais John Pombe Magufuli alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo yaloiyofanyika kitaifa Dodoma.…
Uteuzi mwingine alioufanya Rais Magufuli leo July 25 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Samuel M. Nyantahe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC). Taarifa ya Katibu…
VIDEO: Sentensi za Rais Magufuli kuhusu mashujaa waliofariki vitani
Kila ifikapo July 25 ya kila mwaka Tanzania huadhimisha siku ya mashujaa ikiwa kwa mara ya kwanza July 25 2016 maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa katika mkoa wa Dodoma ambapo pia…
PICHAZ: Rais Magufuli alivyoisindikiza siku ya mashujaa Dodoma
Kila ifikapo July 25 ya kila mwaka Tanzania huadhimisha siku ya mashujaa ikiwa kwa mara ya kwanza July 25 2016 maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa katika mkoa wa Dodoma ambapo pia mgeni…
‘Naagiza Mawaziri wote kuhamia Dodoma mara moja’-Waziri mkuu Majaliwa
Kila ifikapo July 25 ya kila mwaka Tanzania huadhimisha siku ya mashujaa ikiwa kwa mara ya kwanza July 25 2016 maadhimisho hayo yamefanyika kitaifa katika mkoa wa Dodoma ambapo pia mgeni…
Maamuzi ya mahakama kuu Iringa kuhusu Kesi ya Mwangosi
Mahakama kuu kanda maalumu ya Iringa leo imesendelea na kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa kituo cha cha Channel Ten mkoani Iringa, Daud Mwangosi, inayomkabili askari wa…
‘Hata nitakapotangulia mbele ya haki niiache Tanzania ikiwa na amani’ -Rais JPM
July 25 2016 Serikali ya Tanzania imefanya maadhimisho ya siku ya mashujaa ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Rais John Pombe Magufuli alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo yaloiyofanyika kitaifa Dodoma.…