VideoFUPI: Cristiano Ronaldo kwenye show ya Jennifer Lopez Las Vegas
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno Cristiano Ronaldo ambaye kwa sasa anaendelea na likizo baada ya michuano ya Euro 2016, July 24 2016 alinaswa akila bata zake Las Vegas Marekani kwenye show ya…
Top 10 ya habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo July 24 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo July 24, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
July 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
Dalili za Martial kuchukizwa kwa namba yake ya jezi kupewa Ibrahimovic
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden Zlatan Ibrahimovic ambaye kajiunga na Man United msimu huu akitokea klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa kama mchezaji huru, jina lake linazidi kuingia kwenye headlines baada…
VIDEO: Rais Magufuli kuipeleka serikali yote Dodoma
Moja ya headline zilizotawala leo July 23 2016 kwenye vyombo vya habari ni pamoja na hii ya Rais John Pombe Magufuli kukabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM baada…
Mbunge Professor Jay kuvunja ukimya BongoFlevani..
Ni July 23, 2016 ambapo headlines zinamilikiwa na Mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph Haule aka Professor Jay ambae hivi karibuni atavunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuachia single…
Picha 7: DC Korogwe ashiriki ujenzi wa zahanati, apanga kukamilisha ndani ya siku 30
Umbali mrefu wa kufuata huduma ya afya umemfanya Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Gabriel Robert kushirikiana na wananchi wa kijiji cha Mwenga Tarafa ya Mombo kuanza ujenzi wa zahanati ambayo…
VIDEO: Mbele ya Rais Magufuli Mrema ametangaza kuwajibika, wafungwa wapewe vibarua
July 23 2016 Rais John Pombe Magufuli amekabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM baada ya kupigiwa kura za ndio 2398 kutoka kwa wanachama wa chama hicho…
Alichokiandika Zitto Kabwe baada ya Rais Magufuli kupewa uenyekiti wa CCM
Leo July 23 2016 Rais John Pombe Magufuli amekabidhiwa rasmi nafasi ya uenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM baada ya kupigiwa kura za ndio 2398 kutoka kwa wanachama wa…
VIDEO: Ni kweli Rais Magufuli anakataa ushauri? Mzee Makamba kafunguka
Leo July 23 2016 Mjini Dodoma unafanyika mkutano mkuu maalum wa CCM ambao ajenda yake kubwa ni ya kumchagua Rais Dk. John Magufuli kuwa mwenyekiti wa tano wa chama cha…