Video: Ukweli kuhusu ndoa ya Riyama na Leo Mysterio.
Ni kazi yangu kila sikukukusogezea stori zote zinazochukua headlines, Julay 1 2016 nakukutanisha na Perfecto TV, kuzijua zote za entertaiment zilizochukua headlines moja kati ya stori zilizochukua headlines ni pamoja na…
EXCLUSIVE: Professor Jay kuvunja ukimya, Mr T Touch kafunguka kuhusu single mpya….
Ni July 1, 2016 ambapo headlines zinamilikiwa na Producer Mr T Touch ambae amefunguka na kuweka wazi kuwa Mbunge wa jimbo la Mikumi, Mh. Joseph Haule aka Professor Jay anatarajia…
Kelvin Hart ndani ya Central Intelligence…kuna Action ya INDEPENDENCE DAY..(TRAILER)
Central intelligence ni moja ya movie mpya zitazoanza kuonyeshwa leo dunia nzima kwenye majumba ya Cinema ambapo ndani ya movie wameshiriki mastaa wa kimarekani akiwemo Dwyane Johnson, Kelvin Hart, Bobby Brown, Ryan…
VideoFUPI: Simba wameingia mkataba na Mcameroon Joseph Omog
July 1 2016 klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba imetangaza rasmi kuingia mkataba wa miaka miwili na kocha raia wa Cameroon Joseph Omog ambaye pia siku hiyo hiyo ya July…
Maumivu 18% miamala ya benki, wachumi waonya haya
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Ajali iliyohusisha magari matatu yasababisha vifo Morogoro
Habari iliyoripotiwa hivi punde na kituo cha ITV ni kuhusu ajali ambayo imetokea eneo la VETA DAKAWA mkoani Morogoro ikihusisha magari matatu ambayo ni lori la mafuta, kontena lililobeba mchele pamoja…
VIDEO: Kinara wizi wa mil 7 kila dakika atajwa, kodi miamala Tigopesa, M-pesa kuanza leo
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo Julai Mosi 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=ussFFxWXZbI ULIKOSA HIKI ALICHOZUNGUMZA TUNDU LISSU BAADA YA…
Video: Good news kwenye Hospitali za Dar
Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-salaam Paul Makonda June 30 2016 amepokea msaada mwingine wa ramani ya Ghorofa tatu kila Wilaya katika hospitali za Amana, Temeke, Mwananyamala na majengo haya yataweza kulaza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo Julay 1, 2016 Kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Julay 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
AUDIO: Uwanja wa Taifa usitarajie kuingia bure tena baada ya mechi ya Yanga vs TP Mazembe
Bado headlines za mechi kati ya Dar es Salaam Young Africans dhidi ya TP Mazembe iliyochezwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam na kumalizika kwa Yanga kupoteza kwa goli 1-0…