Simba wamekamilisha usajili wa mchezaji wa nne
Good news kwa mashabiki wa klabu ya Simba, baada ya kumaliza msimu bila taji lolote ndani ya Simba, uongozi wa benchi la ufundi na kamati ya usajili inaonekana kuimarisha rasmi…
Hawa wametamani uhaba wa sukari uendelee na wametoa sababu zao
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya habari iliyoripotiwa…
VIDEO: Sababu za Kikwete kukosa Bil 10, Bibi kumuuza mjukuu mwenye albinism
AyoTV kila asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo June 18 2016 ziko hapa kwenye hii video. https://www.youtube.com/watch?v=KIuIH52bRZ8 ULIKOSA CUF WALIVYOVUNJA UKIMYA KUHUSU LIPUMBA…
VIDEO: Work ya Rihanna ilipochezwa alafu Chris Brown yuko ndani ya hiyo Club
Sio ajabu kukutana na reaction ambayo sio mbaya kutoka kwa mwimbaji staa wa dunia Chris Brown pale anaposikia ukichezwa mbele yake wimbo wowote wa mpenzi wake wa zamani Rihann sababu…
Top 10: Trace TV wamezitaja video mbili kutoka East Africa kwenye Urban Hit 10
Ni kazi yangu kukusogeze hit zote ambazo zinafanya vizuri kwenye vituo vikubwa vya TV Africa June 17 2016, Trace TV wamezitaja video mbili tukutoka East Africa ambazo zimeingia kwenye Top 10…
Kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 18 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
June 18 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
AUDIO: Waliomchangia aliyemtukana Rais Magufuli facebook wametoa ufafanuzi
Mahakama Kuu kanda ya Arusha ilitoa maamuzi June 08 2016 kwa Isaac Abakuk ambaye alishitakiwa kwa kumtukana Rais John Magufuli kwenye ukurasa wake wa facebook ambapo mshitakiwa alitakiwa kulipa millioni 7 au kutumikia…
VIDEO: Hispania wameendeleza harakati za kutetea Kombe lao la Euro
Usiku wa June 17 2016 Mabingwa watetezi wa Kombe la Euro timu ya taifa ya Hispania, walikuwa na harakati za kuendelea kutetea taji lake dhidi ya timu ya taifa ya…
VIDEO: Mambo 9 ya Ray C baada ya kuchukuliwa na Polisi
Usiku wa June 16 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa Bongofleva Ray C ilisambaa mitandaoni na kila mmoja kuzungumza habari tofauti kuhusu clip video hiyo, wapo waliosema Ray C…
Picha 3: Waliokamatwa kwa kosa la kunywa Pombe mpaka alfajiri Dar
June 17 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es saalam Paul Makonda akishrikiana na Jeshi la polisi wamewakatamata watu watano maeneo ya Coco Beach Jijini Dar es salaam kwa kosa…