PICHA 18: Familia na watu zaidi ya 14000 walipokusanyika kufanya ibada kwa ajili ya Muhammad Ali
Siku ya Ijumaa ya June 10 ndio ilikuwa siku ambayo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi, walipata nafasi ya mwisho ya kufanya ibada ya pamoja ya katika ukumbi wa…
VIDEO: Vilio vitano vya Bajeti, Shein amjibu Maalim Seif
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
PICHA: Kuelekea michuano ya Euro 2016, tazama TOP 10 ya viwanja vitakavyotumika katika michuano hiyo
Bado siku moja mashabiki wa soka la Ulaya wapate nafasi ya kushuhudia michuano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama Euro 2016, ikianza kuchezwa Ufaransa, najua kuna rekodi na taarifa nyingi…
Video: Ulishawahi kufikiria kumeza samaki hai kama dawa? tiba hiyo imetumika kwa zaidi ya miaka 170
Wanasema imani ya mtu ndio ukombozi wake, ikiashiria kama utaamini basi utapona. Zipo nchi ambazo huaminika katika maswala ya matibabu India pia ikiwemo, ila matibabu haya ya kuwamezesha samaki walio…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 10, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 10 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
Dalili nyingine ya Zlatan Ibrahimovic kuelekea kujiunga na Man United
Usiku wa June 9 taarifa za staa wa zamani wa klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovich kuhusishwa kujiunga na klabu ya Man United zimechukua sura mpya, Zlatan…
Kwa zaidi ya wiki mbili ‘Niroge’ ya Vanessa inashika namba 2 katika TOP 10 ya kituo kikubwa cha TV Afrika
Mrembo kutoka katika kiwanda cha Bongofleva Vanessa Mdee ameendelea kuwa mtanzania pekee kushika nafasi za juu katika chati za muziki za Africa Hit Top zinazooneshwa na kituo cha kimataifa Trace…
AUDIO: Klabu ya ligi kuu Tanzania Bara iliyotangaza kutosajili mchezaji wa kigeni msimu ujao
Baada ya msimu wa ligi kuu Tanzania Bara 2015/2016 kumalizika timu nyingi zimeelekeza nguvu zake kwenye usajili. Taarifa iliyotoka ni kwamba klabu Majimaji FC ya Songea haitasajili mchezaji wa nje ya Tanzania,…
VIDEO: Msimamo wa Stand United kuhusu wachezaji ambao kocha Liewig hapatani nao
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu kocha mfaransa anayeifundisha Stand United Patrick Liewig kutokuwa katika maelewano mazuri na wachezaji wake ikiwemo Elias Maguli na Haruna Chanongo, ripota wa millardayo.com…
AUDIO: Tuzo za ndoa kwa wanandoa wa muda mrefu kutolewa Tanzania
Hii taarifa imeripotiwa na BBC swahili ambapo imeeleza kuwa ndoa za kikatoliki zikifungwa zimefungwa pamoja na sharti hilo, viwango vya ndoa zinazovunjika zinaendelea kuongezeka na kufuatia hali hiyo, kanisa katoliki…