PICHA 11:Diamond Platnumz hakwenda mikono mitupu kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar…
Ni June 6, 2016 ambapo staa Diamond Platnumz aliungana na uongozi wake wa label ya WCB kuelekea ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Akizungumza na…
Uhamiaji wamekuja na hii ripoti ya operesheni ondoa uhamiaji haramu
Idara ya Uhamiaji imekuwa ikiendesha Operesheni ondoa uhamiaji haramu tangu mwezi Desemba mwaka jana katika operesheni hiyo iliyoonyesha mafanikio ambapo takribani raia 4792 wa kigeni wamekamatwa kwa kukiuka sheria, kanuni na…
VideoFUPI: Kama unamfuatilia Zlatan na unataka kujua atajiunga timu gani? katoa tangazo hili
Mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden ambaye amemaliza mkataba wake na klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic leo June 6 2016 ametangaza kupitia account zake za social network…
VIDEO: Ubelgji wamejenga bomba la kusafirisha bia, baadhi yao watapata bia moja kila siku maisha yao yote
Xavier Vanneste alipata wazo la kujenga bomba litakalosafirisha bia miaka minne iliyopita, mwanzoni lilionekana wazo lisiloeleweka, lakini baadae likakubalika na takribani wanywaji 400 wakajitokeza kuchangia mradi huo. mmoja wa watu waliochangia…
#VIDEO: Ushauri wa Zitto Kabwe kwa CCM na CUF kuhusu Zanzibar
June 05 2016 ulifanyika mkutano wa hadhara katika viwanja vya Zakhem Mbagala, Dar es salaam ambapo Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe alipata nafasi ya kuzungumza katika mkutano huo, kati…
Wabunge wengine wanne wa CHADEMA hatihati kutimuliwa kuhudhuria vikao vya Bunge
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa chini…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 6, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 6 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHA 7: Hatimae Mwana FA kaoa, sahau bado niponipo
'Bado Niponipo' ni moja ya nyimbo zake kubwa kuwahi kutokea pia katika bongofleva ambayo ilibebwa na swali kubwa la MwanaFA unaoa lini? sasa jibu lenyewe ndio limepatikana leo June 5 2016. Picha…
Video: Mambo yakufahamu baada ya taarifa za Chid Benz kutoroka Sober House kusambaa
March 22, 2016 meneja wa Diamond Platnumz Babu Tale alimpeleka msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz Sober House iliyopo Bagamoyo iitwayo Life and…
Video: Alikiba, Ommy Dimpoz na Wema Sepetu ndani ya stage moja na Christian Bella
Usiku wa June 4 2016 Msani wa Dance Tanzania Christian Bella alifanya show yakutimiza miaka miaka 10 katika game ya muziki show ambayo ilifanyika Escape one Jiji Dar es salaam nakusindikizwa…