Faini kwa watakaogonga mabasi yaendayo haraka hii hapa
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini Moja ya story kubwa…
African top 10 ya Trace tv ina ngoma kali 2 kutoka Tanzania, June 2 2016.
Trace Urban imeendelea kuwa kituo kikubwa cha burudani ambayo imesambaa kwenye huduma ya kulipia iliopo ndani ya mataifa mengi barani Afrika ikiwa na watazamaji wengi kutokana na kupiga ngoma kali…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 3, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Manji kataja majina ya wanaohujumu uchaguzi wa Yanga kabla ya kuchukua fomu
Siku moja baada ya katibu mkuu wa Yanga Baraka Deusdedit na afisa habari wa Yanga Jerry Muro kutangaza kuwa uchaguzi wao utasimamiwa na wao wenyewe na sio shirikisho la soka…
UKIMWI wa Paka umegunduliwa kwenye nchi ya Kenya
Kwenye nchi ya Kenya virusi hatari aina ya FIV vinaavyofanana kabisa na virusi vya HIV vinavyosababisha UKIMWI vimegunduliwa katika paka mmoja ikiwa ni baada ya uchunguzi wa kina wa damu ya…
VIDEO: Sababu 6 za Wapinzani za kwanini naibu spika Dr. Tulia aondolewe uspika
June 02 2016 Kambi rasmi ya upinzani bungeni imekutana na waandishi wa habari Dodoma ili kuwasilisha mambo makuu sita imetoa sababu kuu sita za kutaka Naibu spika wa Tanzania Dr.…
VIDEO: Clouds Media wameingia makubaliano na Azam TV, Ndondo Cup 2016 Live
Baada ya kufanyika kwa mashindano ya Ndondo Cup kufanyika kwa mafanikio mwaka 2015, good news ni kuwa mashindano hayo yanazidikukuwa siku hadi siku, Clouds Media na Azam Tv wameingia makubaliano…
VideoMPYA: Quick Rocka, G Nako na Jux wametuletea hii video mpya ya ‘hapo’
TV zinazidi kupata ugeni wa video mpya za bongofleva ambapo time hii ni zamu ya Quick Rocka G Nako na Jux kwenye single mpya inaitwa 'hapo', ukishamaliza kuitazama uniachie na…
PICHA 20: Mchekeshaji Mc Pilipili alivyopokelewa Mbeya
Mchekeshaji Mc Pilipili atakuta na watu wake pande za Mbeya siku ya kesho June 3 2016 kwenye show yake ya Mc Pilipili Live in Mbeya show ambayo atasindikizwa na wachekeshaji wenzake,…
VideoMPYA: Rich Mavoko ametuletea video yake mpya ‘Ibaki Story’
Rich Mavoko ametambulishwa rasmi leo June 2 2016 kuwa chini ya lebo ya WCB inayosimamiwa na Diamond Platnumz, ikiwa ni saa kadhaa baada ya kutambulishwa Rick katuletea video mpya inaitwa ‘Ibaki…