Rais Magufuli aishangaa Tanzania kwa hili
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter>>>@millardayo na Zote nakusogezea hapa chini. Moja ya story kubwa…
#VIDEO: Vanessa Mdee ataja mastaa waliompigia simu amalize beef na Shilole
Baada ya Vanessa Mdee kusema taarifa za beef na Shilole si kweli na hawakuwa na beef bali ulikuwa ni utani tu, kwenye OnAIRwithMillardAyo Vanessa Mdee amewataja wasanii walioamini kuwa wanabeef na…
VIDEO: Magazeti ya June 1 2016.. Wahadhiri UDOM waongea, mauaji ya watu 8 Tanga
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Waliomtukana Rais uturuki wafikia 2000, Mrembo wa taifa kahukumiwa kwenda jela
Hata Tanzania imeshuhudia baadhi ya watu wakipelekwa Mahakamani kwa kumtusi Rais au kuandika habari za uongo kuhusu viongozi wengine wa nchi na hii ni baada ya sheria mpya ya makosa ya…
VIDEO: Mambo mengine manne ya Mbunge wa ‘sanamu ya Diamond’ bungeni
Baada ya May 31 2016 Wizara ya mambo ya mambo ya nje na ushirikiano wa afrika mashariki kuwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi ya kiasi cha shilingi…
Polisi Mwanza wamefafanua kuhusu lile bomu lililolipuliwa na kuzua hofu
Juzi kulikua na baadhi ya msg zinatembea na wengine wakiandika kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mfululizo wa matukio yanayowapa Wananchi hofu kwenye mkoa wa Mwanza, kabla ya bomu lililosikika juzi kuna mauaji…
Taarifa ya Polisi Tanga kuhusu Watu 8 kuuwawa kwa kukatwa mapanga saa saba usiku
Kamanda wa Polisi Tanga Leonard Paul amesema ilikua saa saba usiku wa kuamkia May 31 2016 kwenye kitongoji cha Kibatini kata ya Mzizima wilaya ya Tanga umbali wa kilomita 40 - 45…
VideoMPYA: Bongofleva inayo nyingine ya Rummy na Jobanjo ‘tucheze’
Jobanjo ni producer pia ambaye mikono yake imehusika kuzisuka ngoma kubwa za bongofleva ikiwemo 'shikorobo' na 'namjua' za Shetta, hapa kashirikishwa na Rummy kwenye single mpya iitwayo 'tucheze' https://www.youtube.com/watch?v=sx-el3PO1iE Unataka…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 1, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 1 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,…
VIDEO: Mbunge anaetaka kujua ahadi ya Rais Magufuli kuhusu yule mjusi aliyechukuliwa Tanzania
May 31 2016 wizara ya mambo ya mje na ushirikiano wa Afrika Mashariki iliwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017 na Wabunge wakaanza…