Chuo cha CBE wameyazungumza haya baada ya kuripotiwa kwa tuhuma za ufisadi chuoni hapo
Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimewataka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji zilizoripotiwa na baadhi ya vyombo vya Habari Hapa nchini kuhusu chuo hicho. Akizungumza na vyombo vya Habari leo…
VIDEO: Exclusive ya Vanessa Mdee na mambo 9 ya kuyajua kutoka kwake
Najua kuna watu wangu ambao wao ni damdam na kuzipata stori za mastaa wao, leo Kamera ya AYO TV imempata Msanii wa Bongo fleva Vanessa Mdee kwenye exclusive interview akiwa…
Thamani ya Kombe la ASFC litakalotolewa katika mchezo wa fainali ya Yanga vs Azam FC kesho May 25
May 24 2016 wadhamini wa Kombe la shirikisho Tanzania Azam Tv kupitia kwa Baruan Muhuza wameweka wazi maandalizi ya mchezo wa fainali sambamba na thamani ya zawadi zitakazotolewa katika mchezo wa…
VIDEO: Prof. Tibajuka kitanzini tena, wabunge watofautiana suala la kupimwa kilevi
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Kitwanga atetewa na wananchi, Madiwani wa Jimboni kwake, waeleza madai yao
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. May 24 2016 tayari nimezikusanya na…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 24, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
May 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VIDEO: Harmonize na Jackline Wolper mapenzi motomoto kwenye birthday party
Mwigizaji Jackline Wolper wa bongo movie yuko mapenzini na mwimbaji wa bongofleva Harmonize ambaye anatokea lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz, Jacky na Harmo hawakusita kuonyesha mahaba yao kwenye…
Ulikuwa unafuatilia majaribio ya mtanzania Farid Hispania? C.E.O wa Azam FC ana taarifa hii
Baada ya kurejea kwa Farid Musa kutokea Hispania alipokuwa anafanya majaribio katika klabu ya Deportive Tenerife ya Ligi daraja la kwanza Hispania (Segunda), kila mtanzania anatamani kujua nini kinaendelea kwa…
PICHA 6: Donald Trump anaweza kuuza moja ya hii mijengo yake ili kusaidia kampeni zake
Mgombea Urais nchini Marekani Donald Trump amesema anaweza 'kuuza jengo' ili kusaidia mfuko wa kampeni yake ambayo inaweza kugharimu dola billioni 1. Mwanzoni hakuwa na wazo la kufadhili msimu ujao…
PICHA 5: Icheki hapa Ndege inayotumia umeme imetengenezwa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani
Nchini Ujerumani wametengeneza Ndege aina ya LILIUM kwa ajili ya matumizi ya nyumbani yenye siti mbili, shepu ya yai na inatumia umeme, imetengenezwa na mainjinia wanne wakijerumani wakidai kuwa ndege hiyo…