Msichana mwingine kati ya wale 276 waliotekwa na Boko Haram apatikana
Baada ya miaka miwili tangu kutekwa kwa wasichana zaidi ya 276 wa shule na kupatikana kwa mmoja May 18 2016 msichana mwingine Serah Luka amepatikana kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 20, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
PICHAZ 15: Kutoka katika uzinduzi wa tiGO games, hii isikupite
Mtu wangu wa nguvu kwa wewe ambae ni mpenzi wa kucheza games, tiGo wamekuja na hii inaitwa tiGO Games, unaweza kudownload games katika smartphone yako kwa gharama nafuu ila kwa sasa…
VideoMPYA: Msanii kutoka Marekani kaimba wimbo ft Juicy J unaitwa ‘Zanzibar’
Tanzania bado ipo kwenye headlines kutokana na kuwa na vivutio vyake vya Utalii, Zanzibar ni moja kati ya sehemu za Tanzania zinazojulikana sana duniani kutokana na historia yake, msanii wa Marekani…
Sheria kali zimechukuliwa baada ya mke kupekua simu ya mumewe bila ruhusa
Mke kutumia simu ya mumewe kwa baadhi ya wanandoa inaweza kuwa ni ishu ya kawaida sana lakini kwa Mwanamke mmoja kutoka Umoja wa Nchi za Kiarabu (UAE) amelazimika kulipa faini…
VIDEO: Majibu ya Waziri Mkuu Majaliwa kwa Freeman Mbowe baada ya headlines za Sukari
leo May 19 2016 Wizara ya Nishati na Madini imepata time ya kuwasilisha hotuba yake ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2016/2017.Waziri Sospeter Muhongo ndio alihusika…
PICHA 9: Kama ulizoea kuona biashara pembeni ya barabara za mabasi ya haraka K/koo taarifa hii ikufikie
May 9 2016 ndio siku rasmi ambayo huduma ya mabasi yaendayo haraka yalianza Dar, kama utakuwa ni mwenyeji wa Jiji la Dar utakua unafahamu biashara za wamachinga zilizokuwa zikiendelea pembezoni…
VIDEO: Ajali iliyotokea Dar May 19 2016 na kuua mmoja
May 19 2016 katika eneo la Shekilango Jijini Dar es salaam imetokea ajali baada ya mwendesha bodaboda akiwa na abiria wawili kwenye pikipiki moja akijaribu kulipita gari lililokuwa mbele yake lakini pikipiki ikamshinda na…
ExclusiveVIDEO: Mambo manne atayoyapata Alikiba kwenye mkataba mpya na Sony Music
Haya mambo manne ni sehemu tu ya mambo ambayo Alikiba atafaidika nayo baada ya kusaini mkataba na kampuni kubwa na maarufu kwenye biashara ya muziki duniani SONY MUSIC, bonyeza play…
Huu ni ushindi wa bondia Manny Pacquiao katika siasa
Bondia mwenye jina kubwa katika ulimwengu wa ngumi Manny Pacquiao May 19 2016 ameingia kwenye headlines baada ya kufanikiwa kushinda nafasi ya Seneta katika bunge nyumbani kwao Filipino, Pacquiao amefanikiwa kushinda nafasi…