VIDEO: Dakika 15 za uchambuzi wa Magazeti ya Tanzania May 17 2016 na Alice Tupa
AyoTV kila siku asubuhi itakua inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania ambapo Alice Tupa ndio ataifanya hii kazi kuhakikisha unapata habari zote kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania yenye hardnews, michezo na udaku vilevile… bonyeza…
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo May 17, 2016 kwenye, Hardnews na michezo
May 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
FA ya Uingereza imezipiga faini Chelsea na Tottenham Hotspurs
Chama cha soka nchini Uingereza FA May 16 kimetangaza adhabu kwa vilabu vya Chelsea na Tottenham amabavyo vinatoka jiji moja la London, FA wametangaza uamuzi wa kuvipiga faini vilabu hivyo kutokana…
Kocha wa Man City ameeleza kilichoidhoofisha timu msimu huu na kushindwa kutwaa Ubingwa
Baada ya klabu ya Manchester City kumaliza msimu ikiwa nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Uingereza, kocha ambaye alikuwa anafundisha klabu hiyo Manuel Pellegrini ameweka wazi tatizo lililoifanya…
Vichwa 8 vya Habari kubwa kwenye TV za Tanzania May 16 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya May 16 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com inakupatia fursa ya kutazama vichwa 10…
Utafiti umefanyika, Tanzania imetajwa katika list za juu za nchi zisizokuwa waaminifu
Utafiti umefanywa na wanafunzi wa University of Nottingham Uingereza ukihusisha nchi 159, wanafunzi wa chuo kikuu cha Nottingham wamefanya utafiti wa kugundua ni nchi zipi zinaoongoza kwa uaminifu au ukweli duniani,…
VideoFUPI: Kabla ya kumwokoa mtu kwenye gari lililokuwa likiungua moto Jamaa kaset kamera kujirekodi
Teknolojia sasa inafanya watu kuhakikisha hawapitwi na tukio lolote hasa lile la kitofauti, kama umekuwa ukifuatilia mitandao ziliripotiwa habari za baadhi ya watu kufa baada ya jaribio la kutafuta selfie…
VIDEO: Utani wa Masanja akimpa Rais Magufuli Style mpya ya kutumbua Majipu
Mchekeshaji Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji siku zote haishiwagi vionjo vya maneno ya kufurahisha, iwe kuongea hata wakati mwingine tembea yaketu ni lazima ucheke. Sasa leo nakukutanisha naye kwenye hii…
VIDEO: Walichokiongea Godbless Lema na Esther Bulaya baada ya hotuba ya Upinzani kukataliwa Bungeni
May 16 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, ilikuwa ni nafasi kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kuwasilisha hotuba yake ya makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka…
Traffic Dar wamezikusanya hizi BILIONI kati ya April 25 mpaka May 16
Jeshi la Polisi Kanda maalum Dar es salaam kupitia kikosi chake cha usalama barabarani kimekusanya kiasi cha shilingi Bilioni 1.3 kutokana na ukamataji wa makosa ya usalama Barabarani kwa kipindi cha…