Matokeo ya Liverpool vs Chelsea na list ya vilabu vitatu vilivyoshuka daraja EPL msimu wa 2015/2016
Tayari Ligi Kuu ya Uingereza Bingwa tumeshafahamu ni klabu ya Leicester City ambayo imeweka historia mpya, baada ya kutwaa taji hilo kwa mara ya kwanza katika historia yake toka ianzishwe…
Pale inapofikia Spika anamtimua Waziri mkuu ndani ya bunge kisa hajafata kanuni
Ni kawaida kwenye Mabunge mbalimbali duniani kuona Wabunge wametolewa nje au wenyewe wametoka nje lakini ni nadra sana kusikia Waziri mkuu kazingua bungeni na kusababisha Spika kuamuru atoke nje. Imetoka…
Mabadiliko yatakayofanyika katika mashindano ya CAF ngazi ya vilabu kuanzia 2017
Usiku wa May 11 2016 wakati wa mkutano wa 38 wa shirikisho la soka barani Afrika chini ya Rais wake Issa Hayatou umetangaza mabadiliko katika mashindano ya ngazi ya vilabu barani…
EXCLUSIVE PICHA 15: Bongofleva imemlipa… huu ni muonekano wa studio mpya ya Barnaba
Ni Mei 11, 2016 ambapo msanii wa Bongo Fleva, Barnaba anaziandika headlines baada ya kufungua rasmi studio yake mpya aliyoipa jina la 'HIGHTABLE SOUND' ambayo itahusika kurekodi kazi za wasanii…
PICHA 15: RC Makonda kakamata zaidi ya tani 1300 za sukari Dar
Headline za sukari zimeendelea katika vyombo mbalimbali vya habari , Leo May 11 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameendelea na zoezi la kuchunguza watu wanaodaiwa…
Unafahamu alichokikanusha Harmonize kuhusu Diamond Platnumz?
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva. Mei 11, 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya Harmonize kukana kucopy…
VIDEO: ‘Wazee hawapati dawa mara nyingi wakienda hospitali’ -Mbunge William Ngeleja
Mei 11 2016 Bunge la 11 limeendelea Dodoma, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka…
PICHA 16: Kuwait wametisha, wamenogesha kwa kuivuta bahari nchi kavu ili kutengeneza mji mpya
Mwaka 1986 Khalid Yousef Al Marzouq alikuwa na wazo la kujenga mji katika jangwa, Al Marzouq alikufa lakini mwanae Fawaz ameifuata ndoto ya baba yake ambayo imezaa matunda na ujenzi…
Licha ya kuifunga 6-1 Majimaji FC Oct 31 2015, Simba imeshindwa kupata point tatu Songea leo May 11
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo May 11 2016 kwa klabu ya Majimaji FC ya Songea kucheza mchezo wake wa Ligi Kuu wa 29 dhidi ya Simba katika uwanja…
PICHA 6: Jionee mwanamke aliyejifungua mtoto akiwa na miaka 70
Mama mwenye umri wa miaka 70 nchini India amepata mtoto na mumewe mwenye miaka 79, Daljinder Kaur na mume wake Mohinder Singh Gill wamekuwa katika ndoa kwa miaka 46 lakini…