Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga wameendeleza vipigo kwa kuiadhibu Mbeya City
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo Jumanne ya May 10 2016 katika uwanja wa Sokoine, kwa wenyeji Mbeya City kuwakaribisha Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara mara mbili mfululizo…
Jipya la Waziri Mkuu kuhusu tani za sukari zilizoagizwa kutoka nje ya nchi…
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeagiza Sukari kutoka nje ya nchi tani 70,000 za sukari ambapo kati ya hizo, tani 11,957 zimshawasili nchini na zitaanza kusambazwa kesho Mei 11,…
VIDEO: Zaidi ya shilingi Trilioni moja kutengwa kwa ajili ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa
Mei 10 2016 Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imewasilisha hotuba yake ya mapitio ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 ambayo imesomwa na Waziri…
Perfect Crispin…mtangazaji wa Clouds FM anaetukutanisha na hizi 3 za Diamond, Ommy Dimpoz na Mike Tee
Perfect Crispin ni mtangazaji wa Clouds FM ambaye hapa anatusogezea stori zilizochukua headlines kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva, ambapo leo Mei 10, 2016 ametusogezea hizi stori tatu ikiwemo ya…
AUDIO: Rais Magufuli ‘huyu Shetani aliyetulaani Watanzania kwanini asife?’
Ni hotuba ya Rais Magufuli akiwa Arusha kwenye kuweka baraka zake kwenye majengo mapya ya PPF ambapo kwenye hotuba yake iliyochekesha watu wengi aliongelea pia ishu ya madini ya Tanzanite…
Bei za kupita juu ya daraja la Kigamboni zimetangazwa leo kwa Magari, Baiskeli na Pikipiki
Tayari Dar es salaam imeanza kufurahia urahisi wa kuvuka bahari kwa urahisi zaidi kwenye safari kati ya Kigamboni na Town Dar es salaam ambapo daraja lilivyozinduliwa tu tuliambiwa tutalipia ila…
VIDEO: Majibu ya Naibu Waziri Bungeni kuhusu zile milioni 50 za Rais Magufuli kila kijiji
Wakati Rais John Pombe Magufuli akiwania nafasi ya kuiongoza Tanzania aliahidi kutoa shilingi milioni hamsini kwa kila kijiji ambapo leo Mei 10 2016 hoja imeingizwa Bungeni na Mbunge wa viti…
VIDEO: Madee asema ‘nilitegemea video ya Snura kufungiwa ila….’
Madee ambaye ni mmiliki wa single mpya ya 'migulu pande' amekaa na OnAIRwithMillardAyo na kueleza vitu mbalimbali kuhusu kufungiwa kwa video ya 'chura' ya Snura na kusema alitegemea video hiyo…
PICHA 7: Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alivyotembelea Daraja la Nyerere ‘Kigamboni’
Siku kadhaa zilizopita daraja la Nyerere 'Kigamboni' lilizinduliwa na kuanza kutumika na wakazi wa jiji la Dar es salaam. Leo May 10 2016 Rais mstaafu wa Serikali ya awamu ya…
VideoFUPI: Sukari yakamatwa Kinondoni, Paul Makonda kafika kwenye eneo la tukio
Vikosi vya ulinzi na usalama Dar es salaam vimekamata mifuko ya sukari katika ghorofa linalojengwa maeneo ya Kinondoni baada ya kuripotiwa kufichwa na mfanyabiashara mwenye asili ya asia. Mkuu wa…