Habari 10 kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania May 04 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Serikali imeongea inachoweza kufanya sasa hivi kuhusu ishu ya Bunge kuonyeshwa LIVE
Hii kauli nimeinasa kwenye siku ya uhuru wa vyombo vya habari ambapo Waziri wa habari, sanaa utamaduni na michezo Nape Nnauye alialikwa na kusimama mbele ya Wadau na Wanahabari na…
Majibu ya Waziri Kigwangalla kuhusu ugonjwa wa ‘Myoma’ unaowasumbua akina mama
Mei 4 2016 Bunge limeendelea Dodoma ikiwa ni mkutano wa tatu, kikao cha kumi na mbili ambapo katika kipindi cha maswali na majibu Mbunge Mgeni Jadi Kadika viti maalum aliulizwa swali…
PICHA 17: Tazama Mabasi ya Brazil, vituo vyao na usafirishaji wa abiria wa ‘mikoani’
Brazil ni moja ya nchi maarufu duniani na ni taifa lililotajwa kushika nafasi ya tano kwa wingi wa watu duniani ambapo mpaka mwaka 2015, idadi ya watu ilikua ni zaidi…
ExclusiveVIDEO: Tazama Diamond alivyorekodi kolabo na Mafikizolo studio South Africa
Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz sasa hivi anapita kwenye TV na Radio kupitia single mpya aliyoshirikishwa na Mafikizolo wa Afrika Kusini ambapo kitu kizuri zaidi ni kwamba Reporter wako…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti May 4 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
May 4 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari kubwa…
VIDEO: Mashambulizi 50 bora yaliowahi kufanikiwa kuokolewa golini na magolikipa
Kuna baadhi ya matukio au mashambulizi katika soka wakati yanatokea kwa asilimia 75 unaweza kutabiri mpira utaingia nyavuni na kuwa goli kuliko uwezekano wa golikipa kuokoa, moja kati ya mipira…
Nchi 25 zinazoongoza kwa ajali barabarani, Afrika Mashariki imetajwa nchi moja
Mtu wangu wa nguvu moja kati ya vifaa hatari kutumia duniani ni vyombo vya usafiri, ndio maana mara zote tumekuwa tukishauriwa kutumia vifaa hivyo wakati ambapo tupo sawa, kwa maana…
Louis van Gaal kasema yeye ni moja ya makocha bora duniani, hizi ndio comment alizokutana nazo
Kocha wa klabu ya Man United ya Uingereza Louis van Gaal huenda ndio akawa kocha ambaye yupo katika wakati mgumu kwa sasa kuliko kocha yoyote Uingereza, Louis van Gaal ameongea kauli…
PICHAZ 15: Kama una mipango ya kujenga nyumba ya kisasa na yenye Swimming Pool, unaweza cheki hizi
Huenda mtu wangu wa nguvu wewe ukawa ni mmoja kati ya watu wenye mipango ya kujenga nyumba ya kisasa, kutokana na mapenzi yako ya kupenda kuogelea, ukashawishika kuwa ujenzi wa…