VideoMPYA: Sauti Sol wanatualika kwenye hii video yao mpya ‘Tulale Fofofo’
Baada ya collabo waliyoifanya na staa kutoka Tanzania Alikiba leo April 26 2016 Sauti Sol wanatualika tena kwenye hii Video ya ngoma yao mpya ya 'Tulale Fofofo' waliofanya na Mi…
Hizi ndio habari 10 kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania leo April 26 2016
Kama kuna stori kubwa hujaipata leo, unaweza kupitia Tweets hizi hapa kutoka Magazetini Tanzania mtu wangu, zote zenye stori kubwa huwa nazisogeza Twitter kwenye account ya @millardayo kila siku, za leo 10 kubwa hizi…
VIDEO: Zitto Kabwe kuhusu utumbuaji majipu na bunge kurushwa Live
April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa…
VIDEO: Baraka da Prince alivyopanda kwenye stage na mpenzi wake Naj April 24 2016
Usiku wa Jumapili ya April 24 2016 msanii wa Bongofleva Baraka da Prince alifanya show Club 71 Tegeta na kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki wake, utamu wa show ulizidi…
VIDEO: Maneno ya Zitto Kabwe kuhusu JPM kuingilia majukumu ya Mawaziri
April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho na Mbunge wa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 26 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
April 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Mr. Blue kasikitishwa na wimbo wa ‘Freedom’ alioutoa Mr. II Sugu
Msanii wa Bongefleva ambaye jina lake lilianza kushine kwenye game ya muziki wa Bongofleva toka akiwa na umri mdogo Mr. Blue, amerudi kwenye headlines baada ya kupost kupitia account yake…
PICHAZ 20: Mafuriko kijiji cha Changalawe Mikumi yamemfanya Prof Jay kwenda kuwatembelea wahanga
Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.ka Profesa Jay April 25 2016 siku moja baada ya kupeleka msaada wa mabomba Ruaha amelazimika kwenda kuwatembelea wanakijiji wa Changalawe kata ya Masanze…
Habari 11 kubwa kwenye TV za Tanzania April 25 2016
Kama utakua ni mpenzi wa kutazama taarifa ya habari na hukupata time ya kutazama taarifa ya Habari ya April 25 2016 kupitia TV za Tanzania usijali millardayo.com imekurekodia habari 10 kupitia…
VideoMPYA: Mr II Sugu katimiza ahadi… video mpya aliyotuahidi ndio hii imetoka
Mbunge wa Mbeya mjini ambaye ni msanii wa kitambo wa hiphop Tanzania Joseph Mbilinyi (Mr. II Sugu) aliahidi wiki kadhaa zilizopita kwamba ataachia video yake mpya baada ya kimya kirefu…