VIDEO: Vijue vitu 6 kuhusu collabo ya Diamond na Papa Wemba, meneja Sallam kayaongea haya
Asubuhi ya Jumapili April 24 2016 headlines za taarifa za kifo cha mwimbaji mkongwe kutoka Congo DRC Papa Wemba alifariki baada ya kuanguka jukwaani akiwa anatumbuiza huko Abidjan Ivory Coast. Sasa…
VIDEO: Tazama yanayotajwa kuwa ni matukio hatari katika soka kwa muda wote
Katika soka kuna mengi yanatokea kila kukicha ambayo hayawezi kusahaulika faulo nazo ni sehemu ya mchezo ila hizi ni faulo hatari kuwahi kufanyika katika soka, wapo waliovunjika kutokana na mchezo faulo…
Nimepokea taarifa mpya za uteuzi kutoka Ikulu leo April 25 2016
April 25 2016 imetolewa taarifa kutoka Ikulu kupitia kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi ambayo imeeleza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi…
Klabu imeamua kusitisha mkataba na staa wa zamani wa Arsenal kwa mambo mawili tu
April 25 2016 headlines zilizopo katika mitandao ya soka Uingereza na Ujerumani ni kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa wa Denmark aliyewahi kuichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza Nicklas Bendtner kuvunjiwa…
Vitu ambavyo Zitto Kabwe anasema Rais Magufuli amevisahau katika kupambana na mafisadi
April 25 2016 Chama cha ACT Wazalendo kimekutana katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama jijini Dar es salaam. Katika hotuba yake Kiongozi Mkuu wa chama hicho Zitto Kabwe amempongeza…
VIDEO:Maswali na majibu bungeni leo, ishu ya wafanyakazi wa viwanda imemsimamisha Waziri
April 25 2016 Bunge la 11 mkutano wa tatu limeendelea, na Waziri wa Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage alikuwa akijibu maswali ya wabunge. Mbunge wa Moshi mjini, Japhary Michael…
Mradi mwingine ambao utaleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi nchini
Baada ya Tanzania kufanikiwa kuchukua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Uganda ambapo Bomba hilo linatarajiwa kujengwa kutoka Uganda mpaka Bandari ya Tanga na mradi huo ukikamilika utaliingizia Taifa…
Mambo matatu ya kufahamu kuhusu uchaguzi mkuu wa Yanga leo April 25 2016
Baada ya headlines za muda mrefu kuhusu hatma ya suala la uchaguzi mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans kupita muda wa kufanyika, April 25 2016 mwenyekiti wa…
Diamond anaandaa reality TV show yake, P square ndani (+Audio)
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi hizi hapa zisikupite, millardayo.com imekurekodia stori zote za April 25 2016 ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya XXL na Stori ambayo…
EXCLUSIVE: Picha 19 za nyumba mbili za Wastara zilizopigwa X Tabata ili zibomolewe
Bomoabomoa ilianza mwishoni mwa mwaka 2015 kwenye baadhi ya maeneo jijini Dar es salaam hasa ya mabondeni ikiwemo maeneo ya kando na mto msimbazi ambapo zoezi hilo lilisitishwa baada ya…