Mrembo aliyeoteshwa ndoto ya kukutana na Diamond Platnumz U Heard (+Audio)
April 20 2016 kupitia U Heard ya Soudy Brown, nakukutanisha na binti anayedaiwa kuoteshwa na kusikia sauti zaidi ya mara tatu inayomwambia afunge safari kutokea Dodoma kuelekea Dar kukutana na Diamond Platnumz, millardayo.com imekuwekea…
Sentensi za RC Makonda kuhusu wafanyakazi hewa Dar es Salaam…
April 20 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia headlines za wafanyakazi hewa katika mkoa wake pamoja na hatua zinazochukulia…
#UPDATE: Mwili uliozama na gari baharini Kivukoni Dar es salaam
April 20 2016 gari aina ya Toyota Hiace lililokuwa ndani ya Pantoni kuelekea Kigamboni Dar es salaam liliserereka na kuzama baharini ambapo inasadikiwa lilikuwa na watu wawili, uokoaji ulifanyika ambapo asubuhi…
Roma Mkatoliki kafunguka haya, kama unataka kwenda kwenye soko la international (255 +AUDIO)
Mtu wangu wa nguvu kama wewe ni mpenzi wa burudani basi hii isikukose, nikupitia 255 ya XXL ambapo millardayo.com inakupa fursa ya kusikiliza stori zote ambazo zimepata airtime kupitia 255 ya…
Simba imetangaza kumfungia mchezaji wake kwa kukosa uungwana na kuoneshwa kadi nyekundu
Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba April 20 2016 kupitia kwa kocha mkuu Jackson Mayanja, afisa habari wake Haji Manara, nahodha wa timu Musa…
Siku 27 za rapper Chid Benz ndani ya Sober House Bagamoyo
Headlines za msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz zilichukua ukurasa kwenye mitandao mbalimbali za kujihusisha na madawa ya kulevya. Sasa kama unakumbuka March 22,…
Geah Habib ameinasa hii ya Mchungaji huko Shinyanga #HekaHeka(+AUDIO)
April 20 2016 Kupitia Hekaheka ya Clouds FM Geah Habib ametuletea Hekaheka iliyotokea Shinyanga ni madai ya Baba mwenye familia yake ambaye ni Mchungaji kuifungia familia yake ndani, na kuondoka na ufunguo…
PICHA 5: Imenifikia taarifa ya Gari kuzama Baharini April 20 2016….
February 2016 iliripotiwa ripoti ya kuzima injini ya Pantoni na kuleta tafrani kwa abiria, sasa ni takribani miezi miwili tangu tukio hilo litokee. Daraja la Nyerere 'Kigamboni' lililozinduliwa jana limeonekana…
Ishu ya mauaji ya vikongwe nchini imeingia Bungeni leo, majibu yake ninayo hapa..(+Pichaz)
Vikao Vya bunge la 11 vimeendelea tena leo April 20 2016, mambo mbalimbali yamejadiliwa ikiwa ni pamoja hii ishu ya mauaji ya vikongwe nchini, swali lililoulizwa na Mbunge wa viti…
Stori kubwa kwenye uchambuzi wa Magazeti April 20 2016…#PowerBreakfast (+Audio)
April 20 2016 millardayo.com imekurekodia uchambuzi wa magazeti kutoka Power Breakfast ya Clouds FM, ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania, Hizi ni baadhi ya Habari…