Picha 10: Kutoka kwenye Eneo la msiba wa Ndanda Kosovo Kinondoni Dar es salaam
April 9 2016 muziki wa dance ulipata msiba baada ya kuondokewa na mkali wa muziki wa dance Tanzania Ndanda Kosovo ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu hospitali ya Muhimbili Dar es…
EXCLUSIVE: Vitu vimewahi kumtokea Nisha nchini China na hawezi kuvisahau
Mwigizaji wa bongo movie Salma Jabu a.k.a Nisha kwa sasa atakua anaonekana sana China na nyumbani Tanzania na hii ni baada ya kuamua kwenda kusomea masomo ya Ujasiriamali China masomo…
Majibu ya Diamond… kwanini aliibeba familia na kwenda nayo Ulaya, bongofleva ilipofikia
Diamond Platnumz alionekana kwenye safari zilizofikia tisa kwa kutembelea nchi mbalimbali za Ulaya na kufanya show ambapo kwenye hii Exclusive anaeleza kwanini alisafiri na familia yake akiwemo Mama yake na…
Zifahamu rekodi tatu za Ronaldo baada ya hat-trick yake ya April 12 2016
Jina la staa wa soka wa kimaifa wa Ureno Cristiano Ronaldo lilirudi kwenye headlines baada ya usiku wa April 12 2016 kuisaidia klabu yake ya Real Madrid kufuzu hatua ya…
Majibu ya kwanini hujasikia Tuzo za Kill hadi sasa yako hapa
Tuzo za KILI ambazo hutolewa nchini Tanzania kila mwaka kwa kuwatunuku Mastaa mbalimbali kwenye muziki wa Tanzania mpaka sasa imekuwa kama kimya hivi, millardayo.com imepata nafasi ya kuzungumza afisa habari…
Aunty Ezekiel kasema ni kweli gari lake limekamatwa TRA…. kinachofata?
Zimesambaa taarifa na picha kadhaa kuhusu gari la mwigizaji wa bongo movie Aunty Ezekiel kushikiliwa na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) na kwamba linatakiwa kulipiwa kodi lasivyo litaingizwa kwenye magari…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 13 2016 kwenye,Udaku, Hardnews na michezo
April 13 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye ,Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Hat-trick ya Cristiano Ronaldo imeipeleka Real Madrid nusu fainali.
Michezo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeendelea tena usiku wa April 12 2016 kwa michezo miwili kupigwa, klabu ya Wolfsburgs kutoka Ujerumani ilisafiri kuelekea Hispania kucheza mchezo wa marudiano…
Ratiba ya nusu fainali ya Kombe la FA Tanzania imetoka
April 12 2016 Shirikisho la soka Tanzania TFF kwa kushirikiana na kituo cha Azam TV kilifanya live droo ya kupanga mechi za nusu fainali ya Kombe la FA ambalo linajulikana…
VIDEO: Mtazame Mkuu wa Dar es salaam akitoa maagizo matatu makubwa April 12
April 12 2016, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa maagizo kwenye mambo matatu wakiwemo ombaomba wa mabarabarani, majengo makubwa yaliyojengwa kinyume na taratibu pasipo kuwa na parking…