Usibet mechi ya Taifa Stars dhidi ya Chad, TFF wamekumbushia jambo (+Pichaz 4)
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars March 22 imekamilisha mazoezi yake ya mwisho pamoja na wachezaji wake nane waliokuwa wamechelewa kuwasili jijini N'Djamena Chad na kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya…
Sababu 5 kwa nini Jose Mourinho hajatajwa kuwa kocha wa Man United hadi sasa (+Audio)
Headlines za kocha wa klabu ya Man United Louis van Gaal kuhusishwa kutaka kufukuzwa na nafasi yake kuchukuliwa na aliyekuwa kocha wa Chelsea Jose Mourinho, March 22 wataalam wa mambo…
Ni kweli Ozil ataondoka Arsenal kwa sababu ya Wenger? ukweli wake huu
Kiungo wa kimataifa wa Ujerumani mwenye asili ya Uturuki anayekipiga katika klabu ya Arsenal ya Uingereza, kwa sasa jina lake limekuwa likitumika kuchochea tetesi za kuwa kocha wa klabu hiyo…
Picha 25: Kutoka kwenye Uchaguzi wa Meya Jijini Dar es salaam.
March 22 umefanyika Uchaguzi wa kumtafuta Meya wa Jiji la Dar es salaam, ikiwa ni baada ya uchaguzi huo wa kuahirishwa zaidi ya mbili. Uchaguzi huo wa Meya umefanyika kwa…
Kama utapata nafasi ya kutembelea jiji la Barcelona, Messi anafungua mgahawa kwa ajili yako (+Pichaz)
Jina la Lionel Messi sio geni duniani kote kutokana na umahiri wake na urafiki wake mkubwa na tuzo za Ballon d'Or kwa ndio mchezaji anayeongoza kwa kutwaa tuzo hizo mara…
Soudy Brown kampata Nyoshi kwenye U HEARD kuhusu uhusiano wa Maji na weupe wake.
Ikiwa leo March 22, 2015 Dunia inaadhimisha siku ya maji.. SOUDY BROWN ametuleta U HEARD kupitia XXL ya Clouds FM ambapo amemtafuta mwimbaji ambaye ni kiongozi wa bendi ya FM…
Hizi hapa sentensi za Zitto baada ya kumwandikia Spika barua ya kujiuzulu
Gazeti la Mtanzania leo March 22 limeripoti kuhusu kamati za Bunge kutarajiwa kufanyiwa mabadiliko makubwa baada ya ripoti ya uchunguzi wa mwenendo wa wabunge kuwatuhumu baadhi yao kujihusisha na vitendo…
Meya wa jiji la Dar es Salaam amepatikana leo March 22, 2016..nina video ya sekunde 15 hapa
Uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam ulichukua headlines siku zilizopita baada ya wananchi kuwa na hamu ya kumfahamu meya mapema, sasa leo march 22, 2016 hatimaye Diwani Isaya Mwita…
Young Dee anaamini babu tale amekosea kufanya hivi kwa mkali wa Hip Hop Chid Benz, kayaandika haya
Headlines za msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz zinazidi kuchukua nafasi katika mitandao mbalimbali, sasa March 21, 2016 meneja wa Diamond Platnumz amepost video…
Ubelgiji wamepata msiba, milipuko miwili imetokea Uwanja wa Ndege
Kwenye vyombo vya Habari vya kimataifa, habari inayo-make headline sasa hivi ni taarifa ya milipuko iliyotokea uwanja wa Ndege wa Brussels na Kituo cha Treni cha Metro nchini Ubelgiji. Chombo cha Habari…