Leo ni Birthday ya Ronaldinho, hivi ni vitu vitano vya kukumbukwa kutoka kwake (+Video)
March 21 ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mkali wa soka kutokea Brazil Ronaldinho, ambae kwa siku ya leo anasherehekea kutimiza umri wa miaka 36. Ronaldinho kacheza vilabu kadhaa…
Majambazi walivyonasa kwenye mtego na kuuawa Dar, waliokuwa na mabomu pamoja na hirizi..
Taarifa iliyonifikia Leo March 21 2016 kutoka kwa Kamanda wa Polisi Kanda maalum Dar es salaam Simon Sirro ni hili tukio la majambazi watatu kuuawa katika eneo la Masaki mwisho…
Arsene Wenger ni kocha wa nne kuhusishwa kufukuzwa kazi Uingereza msimu huu, hili ndio jina la mrithi wake
Headlines za vibarua vya makocha wa Ligi Kuu Uingereza msimu huu kutoka katika vilabu vikubwa kuwa mashakani vinazidi kushika kasi kila kukicha, ilianza kwa kocha Jose Mourinho kufukuzwa kazi na…
Ariana Grade karudi kwenye headlines na hii single yake mpya ‘Be Alright’, isikilize hapa
Imepita miaka miwili tu toka msanii wa muziki wa Pop, Marekani, Ariana Grande aachie Album yake iliyopewa jina, My Everything.... good news ni kwamba msanii huyo time hii amerudi na hit single…
Matokeo ya Rais Zanzibar yemetangazwa hizi ni picha 15 kutoka eneo la tukio
Leo March 21 Tume ya Uchaguzu Zanzibar imetangaza matokeo ya uchaguzi ambapo imemtangaza mgombea wa CCM Dk Ali Mohamed Shein kuwa Rais Mteule wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa…
Rais Magufuli atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuhakikiwa silaha zake..(+Picha)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa mtu wa kwanza kutekeleza agizo la Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam la…
Video Fupi ya Waziri wa nchi ofisi ya Rais – Tamisemi Georgea kayazungumza haya leo March 21, 2016
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, George Simbachawene ametangaza leo March 21, 2016 kuwashughulikia wale wote wanaofanya hujuma katika sekta ya elimu nchini, wakiwemo Walimu wanaokimbia sehemu zao za kazi hususani…
BREAKING:Watu 4 wamefariki na wengine 6 wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha msafara wa kamati ya Tamisemi
Breaking News niliyopokea muda mfupi uliopita inahusu ajali iliyotokea Pwani ambapo watu wanne wamefariki dunia na wengine sita wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha msafara wa kamati ya Tamisemi Pwani Kwa mujibu…
Breaking: Dk. Ali Mohamed Shein ametangazwa kuwa Mshindi wa kiti cha Urais Zanzibar
March 20 2016 ilikuwa ni siku ya ambayo Wananchi wa Zanzibar walipata fursa ya kupiga kura ili kuwachagua viongozi wao, na hii ni baada ya kufutwa kwa uchaguzi wa awali uliofanyika october…
Obama alivyoweka Historia ya mahusiano ya Marekani na Cuba
Baada ya kutokuwa na uhusiano mzuri kati ya Marekani na jirani yake Cuba kwa muda mrefu, March 20 2016 Rais Barack Obama amefanya ziara ya siku 3 inayolenga kurekebisha uhusiano…