Pichaz 20:kutoka kwenye Kamatia Chini Lights UP Tour ya Navy Kenzo Club 71 Dar…
Usiku wa March 20 kundi la Navy Kenzo liliendelea na Tour yao ya Kamatia Chini Lights UP Tour ndani ya Club 71 Dar , nakufanya bonge la show na kuwaburudisha mashabiki waliokuwa…
Jinsi mashabiki walivyopata burudani kali kutoka kwa wasanii Club Bilz (+Picha)
Ni usiku wa March 20, 2016 ambapo wakali kutoka kwenye tasnia ya Bongo Fleva waliungana kwa pamoja kutoa burudani ya nguvu kwa mashabiki waliohudhuria katika ukumbi wa Club Bilz.miongoni mwa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 21 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
VIDEO: Rais Shein na Mama Samia Suluhu walivyoshiriki kupiga kura March 20, 2016
March 20 2016 ni siku iliyokuwa ikisubiriwa na Wanazanzibar ili kuikamilisha fursa ya kikatiba kwa kuchagua viongozi wawapendao akiwemo Rais, Wabunge na Madiwani, hii inafuatia kufutwa kwa matokeo ya awali…
Real Madrid yaibuka na ushindi mnono dhidi ya Sevilla, Ronaldo kapiga shuti nane, magoli je? (+Video)
Burudani ya soka la Hispania liliendelea usiku wa March 20, kwa michezo kupigwa ndani ya ardhi ya Hispania, Real Madrid ambao bado hawana matumaini ya kutwaa Ubingwa wa Ligi hiyo kutokana…
Hii ndio ndinga mpya ya msanii Shilole asema bye bye Mark X…
Siku zote wataalamu wa mambo wanasema kuwa msanii mkali ni lazima awe na gari kali, sasa time hii msanii mwenye hit single iitwayo Nyang'anyang'a shilole leo March 20, 2016 kupitia kwenye…
Vichwa 6 vya Habari kwenye TV za Tanzania March 20, 2016
Kama ukupata time ya kutazama Taarifa ya Habari March 20, 2016 millardayo.com inakupatia fursa ya kuvitazama vichwa vya habari vilivyosomwa kwenye TV za Tanzania. . Hii pia ni kutoka ITV…
Cyril Kamikaze kaguswa na headlines za Mkali wa Hip Hop Chid Benz, kayaandika haya
Headlines za msanii wa muziki wa Hip Hop kutoka Ilala, Rashid Makwilo aka Chid Benz zinazidi kuchukua nafasi katika mitandao mbalimbali, sasa leo March 20, 2016 mkali Cyril Kamikaze kupitia…
Good News: Mdundo wa Sauti Sol na Alikiba tayari umepokelewa kwenye kituo hiki kikubwa cha TV
Leo March 20 2016 mdundo wa 'Unconditionally Bae' uliofanywa na mastaa Saut Sol kutokea Kenya na Alikiba wa Tanzania, umefanikiwa kuchezwa kama Brand new kwenye kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace…
Sentensi za CCM kuhusu uteuzi wa msemaji mpya wa chama aliyechukua nafasi ya Waziri Nape
Ni March 20, 2016 ambapo chama cha mapinduzi kilifanya mkutano na waandishi wa habari na kumtangaza msemaji mpya wa chama cha mapindizi baada ya waziri Nape kuteuliwa kufanya kazi za…