Paul Makonda katangaza donge la Mil moja , majambazi wahusishwa ndani..
Leo March 18 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amekutana na Kamanda wa Polisi kanda maalum Simon Sirro pamoja na Askari Polisi kwa lengo la kujionea mwenendo wa…
Moyes aliharibu zaidi ya rekodi 8 za Man United, Van Gaal kaharibu hii iliyodumu kwa miaka 60
Wazungu mara nyingi ni watu ambao wanaheshimu rekodi katika maisha yao ya kila siku, toka aondoke Alex Ferguson Man United kuna makocha wawili sasa wameingia kuifundisha Man United. David Moyes ndio…
Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza maamuzi haya kwa watumishi wake 14
Wizara mbalimbali za Serikali hii ya awamu ya tano zinazidi kuingia kwenye headline, ikiwa ni siku kadhaa zimepita baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga kuagiza…
Pichaz 17: kutoka kwenye usiku wa Birthday ya Linah, Dar.
March 17 ni tarehe waliozaliwa watu wengi dunia lakini kutoka kiwanda cha Bongoflevani mrembo anayemiliki hitsongs nyingi ikiwepo 'Malkia wa Nguvu', Linah amesherekea siku yake ya kuzaliwa march 17 na…
Simba mwingine aingia mtaani na kujeruhi Kenya
Wiki kadhaa zimepita tangu Simba 6 walioripotiwa kutoroka kwenye hifadhi ya wanyamapori ya Nairobi Park na kuonekana wakielekea mji wa Langata. Leo March 18 2016 inaripotiwa tena Simba mmoja ametoroka…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 18 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
March 17 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Sare dhidi ya Liverpool, inaifanya Man United isubiri hadi mwakani kucheza michuano ya Ulaya (+Video)
Usiku wa March 17 michuano ya UEFA Europa Ligi iliendelea kama kawaida kwa michezo nane kupigwa barani Ulaya, stori kubwa ilikuwa ni mchezo wa marudiano kati ya Man United dhidi ya…
Utafiti Mpya: Je ni nchi gani maskini zaidi Afrika?
Afrika ni bara ambalo tafiti kadhaa zinafanyika na zimeendelea kufanyika, Matokeo ya Utafiti wa Africa Wealth umeitaja Zimbabwe kuwa ndio nchi Maskini. Inatajwa kuwa wizi wa kura, ukosefu wa kuheshimu haki za…
Taaluma ya Madaktari Bingwa wa kinywa na meno, imewafikia watoto wenye ulemavu wa ngozi (Albinisim), Shinyanga…(+Pichaz).
Madaktari Bingwa wa Kinywa na Meno kutoka kwenye mikoa tofauti Tanzania wengine kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, wameamua kuitumia taaluma yao kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi (Albinism), kusikia na…
Video 5 za juu kwenye chati ya Urban Top 10 Trace TV ikiwemo ya mtanzania
Trace TV ya Ufaransa ni kituo kingine cha TV kinachoonekana Afrika kupitia huduma ya kulipia kikiwa na nafasi yake kwenye upande wa burudani hususani muziki wa kizazi cha sasa. Usiku…