Video: Vitendo vinavyoendelea Zanzibar vimeigusa CUF, na haya ndio maamuzi yao…
March 17 2016 Chama cha Wananchi CUF kilijitokeza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es salaam kupitia Naibu katibu Mkuu Magdalena Sakaya kuitaka Serikali iingilie kati vitendo vinavyofanywa na watu wanaojiita…
Shindano la Miss Tanzania limeletwa tena kwa watanzania, kazi inaanza March 19
Najua nina watu wangu wanaopenda headline za Ma Miss sasa good news ni kwamba shindano la kumsaka mrembo Miss Tanzania limerudi rasmi na linatarajiwa kuzinduliwa Jumamosi March 19 2016 Dar…
Asteria… mtangazaji mpya AyoTV anaetukutanisha na hizi 3 za Vanessa Mdee, Idris na Baraka
Kutana na stori zilizoanzia Instagram lakini mtangazaji mpya wa AyoTV Asteria akazifanyia muendelezo na zikawa na details za kutosha kwa kupata ufafanuzi kwa wahusika wenyewe, tazama Vanessa Mdee alivyotafuta Dancers…
VIDEO: Vyama vingine vya siasa vimeongea tena leo, ni kuhusu uchaguzi wa marudio Zanzibar
Leo March 17 2016 headline nyingine ni kutoka kwa Vyama visivyo na uwakilishi bungeni ikiwa ni pamoja na DP, CCK, SAU, AFP, TLP, ADA TADEA, UPDP, D. MAKINI, NRA, UMD, CHAUSTA…
Zikiwa zimebaki siku 3 kufanyika uchaguzi wa Marudio Zanzibar, CUF wameyazungumza haya….
March 20 2016 ni siku ambayo Uchaguzi wa marudio Zanzibar utafanyika, zikiwa zimebaki siku chache kufanywa kwa uchaguzi huo, matukio mbalimbali yamekuwa yakichukua vichwa vya habari ikiwamo nyumba ya Kamshina wa…
Top 10 news kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania March 17 2016
Tayari nimekukusanyia Uchambuzi wa stori zote za magazeti leo March 17 2016, kila siku huwa nazipandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. https://twitter.com/millardayo/status/710335257690705920 https://twitter.com/millardayo/status/710336015341326336 https://twitter.com/millardayo/status/710339649131126784 https://twitter.com/millardayo/status/710340813113401344 https://twitter.com/millardayo/status/710350659745406976 https://twitter.com/millardayo/status/710349141747093504…
Kutoka makao makuu ya Yanga, haya ni mambo matatu aliyoyaongea kocha wao leo
Klabu ya Dar Es Salaam Young Africans Jumamosi ya March 19 itarudiana na klabu ya APR ya Rwanda katika mchezo wake wa pili wa raundi ya pili ya michuano ya…
Umoja wa vyama visivyo na ushiriki bungeni vimeyaamua haya kuhusu marudio ya uchaguzi Zanzibar
Ikiwa ni siku kadhaa tangu headline za Umoja wa vyama vya katiba nchini (UKAWA) kutangaza kuwa havitashiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar unaotarajiwa kufanyika March 20 2016, Leo March 17 2016…
Rais Magufuli kapiga simu kwenye kipindi cha TV ya Tanzania kwa mara ya kwanza tangu awe Rais (+audio)
Kwenye zile kubwa ambazo zimenifikia leo March 17 ni pamoja na hii ya Rais wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kuvutiwa na kipindi cha Clouds 360 cha Clouds Tv mpaka akaamua kuwapigia…
Raymond alivyokutana na Diamond Platnumz..(+Video)
Kipaji cha Raymond kilianza kuonekana mwaka 2011 baada ya kushiriki kwenye mashindano ya kuchana yaani (FreeStyle) mkoani Mbeya na kuwa mshindi wa kwanza,alipokuja Dar kwenye fainali za mashindano hayo akaibuka…