Richie Richie kaipeleka tuzo kwa waziri Nnauye (+Video)
Usiku wa March 6 Single Mtambalike maarufu kama Richie Richie, aliwasili na tuzo yake ya Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria, na leo March 7 ilikuwa ni wakati wa kuipeleka tuzo…
Kama ilikupita hii ya Shabiki wa soka kumuua mwenzake kisa Messi na Ronaldo ….
Imekuwa kawaida kwa watu kubishana kuhusu wachezaji bora wa Dunia ambao wote wamewahi kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia Ballon d'Or kwa zaidi ya mara moja Lionel Messi na Cristiano…
Full Video: Mapokezi ya Richie alivyotua Airport Dar na tuzo kutokea Nigeria
Hii ilikuwa ni Usiku wa March 5 ambapo staa wa Bongo Movie Single Mtambalike maarufu kama Rich Richie alivyotua Airport Dar es salaam baada ya kushinda tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards2016 zilizotolewa…
Kama ulikamatwa na Traffic Dar kati ya Feb 28 mpaka March 7, faini yako imejazia hizi milioni
Kikosi cha Usalama Barabarani kanda maalum ya Dar es salaam kimetangaza kukusanya kiasi cha shilingi Milioni 365 kutokana na ukamataji wa makosa ya usalama Barabarani kwa kipindi cha kuanzia February…
Pichaz 6 za Richie Richie alivyokutana na waziri Nape leo na tuzo ya Africa Magic Viewer’s Choice 2016
Usiku wa March 6 Single Mtambalike maarufu kama Richie Richie, aliwasili na tuzo yake ya Africa Magic Viewer’s Choice Awards 2016 zilizotolewa Lagos Nigeria, na leo March 7 ilikuwa ni wakati wa kuipeleka tuzo…
Picha 3: Diamond Platnumz Marekani akiwa na Ne-yo na mwigizaji wa series ya EMPIRE
Kwenye OnAIR with Millard Ayo Diamond Platnumz alisema March 2016 anakwenda Marekani na kwamba atafanya kazi kubwa na nyingi ikiwemo video ya kolabo yake na staa wa muziki duniani Ne-yo ambaye…
Kama ulifikiwa na Taarifa za Uhaba wa Sukari chukua hii..
Issue ya uhaba wa sukari ilichukua headline baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania John Pombe Magufuli kupiga marufuku uingizaji wa sukari kutoka mataifa ya kigeni ili kuvilinda viwanda…
Picha 5: katibu mkuu mpya kiongozi alivyoapishwa leo Ikulu, waliokuwepo ni pamoja na aliyekua Katibu mkuu Ombeni Sefue
ULIKOSA RAIS MAGUFULI AKIMTANGAZA KATIBU MKUU MPYA? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI https://www.youtube.com/watch?v=8S2PN82xeaY Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika…
Maneno ya Witness kuhusiana na Hiphop….?Walichokiongea Richie na Lulu Baada ya kushinda tuzo Nigeria..(255 +Audio)
Kupitia 255 ya Clouds FM March 7 millardayo.com inakupatia fursa ya kuzisikiliza stori zote ambazo zimepata airtime kupitia 255. 'Mitazamo ya baadhi ya wasanii ni kuwa muziki wa Hiphop…
Mama aliyewatelekeza watoto wake 2 Mwananyamala Dar kapatikana… #Hekaheka..(+Audio)
Watoto walliotelekezwa na mama yao Mwananyamala Dar es salaam, Mama na Baba yao wamepatikana kupitia Hekaheka ya Clouds FM March 7 Geah Habib amefanya interview na mama aliyekuwa anaishi nao…