Kama uliikosa ‘Kamatia Chini Lights Up Tour’ ya Rhapsody’s, kuna pichaz 18 hapa
Mtu wangu wa nguvu kama mpenzi wa burudani na kuparty "Kamatia Chini Lights Up Tour" ya Navy Kenzo iliendelea usiku wa March 4, time hii ilikuwa pande za Rhapsody's Navy…
Diamond kakutana na Kanye West Marekani
Yeyote ambae anaufuatilia muziki wa Kanye West akikutana nae hawezi kuacha kupiga nae picha. Diamond alisafiri kuelekea Marekani Las Vegas kwa ajili ya kufanya show, ambapo kwenye maelezo ya hii…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 5 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 5 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Pichaz 20 za Idris Sultan, MC Pilipili na Chipukeezy walivyovunja mbavu watu kwenye The Funny Fellas
Usiku wa March 4 ilifanyika Stand Up Comedy katika ukumbi wa Uhuru Auditorum makumbusho ya Taifa Posta, show hiyo iliyopewa jina la The Funny Fellas ambayo ilikutanisha wachekeshaji mahiri kutoka…
VIDEO: Baada ya Sheria ya Makosa ya Mtandao, Jamii media wameingia Mahakamani
Septemba Mosi, 2015 Tanzania ilianza kutumia sheria ya Makosa ya Mtandao licha ya kuwepo kwa mvutano na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaotumia mitandao hiyo kwamba hawakushirikishwa kuijadili na kuichambua. Jamii…
Video ya Kiwanda cha rangi kilivyoteketea kwa moto Dar usiku huu
March 4 2016 moja ya tukio lililokusanya umati wa watu ni hii ya ghara la kuhifadhia rangi kwenye kiwanda cha Sadoline kilichopo maeneo ya tazara Dar es salaam, baada ya…
Jamii Forum wajitosa Sheria ya Makosa ya Mtandao, na sasa wameyaamua haya..
Septemba Mosi, 2015 Tanzania ilianza kutumia sheria ya Makosa ya Mtandao licha ya kuwepo kwa mvutano na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaotumia mitandao hiyo kwamba hawakushirikishwa kuijadili na kuichambua. Leo…
Video ya MkasiTV mwanzo mwisho Ay alipokwenda kuzungumza na TCRA
MkasiTV imepata Exclusive video ya kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa Ay kwenda kukutana na viongozi wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA huku ishu pekee iliyojadiliwa ni swala la video ya…
Ratiba ya Robo fainali Kombe la FA Tanzania imetoka leo
Robo Fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) inatarajiwa kuchezwa wikiendi ya mwisho wa mwezi Machi mwaka huu, huku timu nane zikichuana kusaka nafasi ya kuingia…
Baada ya Uchaguzi wa Meya Dar kuzuiliwa, UKAWA wameyaamua haya leo…
Uchaguzi wa Meya Dar es salaam unazidi kuchukua headline kila siku. Ikiwa ni siku moja tangu kuachiliwa kwa dhamana baadhi ya Wabunge na Madiwani wa Chadema kwa kosa la kumjeruhi Katibu tawala Mkoa…