Ni kweli Roman Abramovich amewatajia staff wa Chelsea kocha mpya? dello Sport wameandika hivi …
Bado klabu ya Chelsea ya Uingereza inaongozwa na kocha wake wa muda Guus Hiddink ambaye ataiongoza klabu hiyo hadi mwisho wa msimu, Hiddink alijiunga na Chelsea kuchukua nafasi ya Jose Mourinho ambaye alifukuzwa na…
Usi-imagine Stan Bakora kafanya nini kwenye video mpya ya Mrisho Mpoto ‘Sizonje’ ! ninayo hapa
Stan Bakora ni mchekeshaji wa Tanzania tumezoea kumpata kwenye movie pia na akiigiza sauti ya Nay wa Mitego, sasa video ya wimbo mpya wa Mrisho Mpoto 'Sizonje' Stan Bakora kaonekana...…
‘Tutawakamata na kuwarudisha Nchini’ – Polisi
Jeshi la Polisi Tanzania limechukua headlines kwa siku za hivi karibuni kwa kudhibiti uhalifu katika sehemu mbalimbali za nchi. Leo March 3 2016 Kamishina wa Polisi wa Oparesheni na Mafunzo,…
Taarifa za Petitman Wakuache kupata mtoto wa pili kutoka kwa mwanamke wa Kalala Junior..(U Heard +Audio)
U Heard ya Soudy Brown kupitia XXL ya Clouds FM March 3 inamhusu Petitman kutarajia mtoto wa pili kutoka kwa mwanamke wa msanii kutoka Bendi ya Twanga Pepeta Kalala Junior.…
Mtoto anayeuza mboga za majani Dar apata msaada wa kurudi kwao..#Hekaheka(+Audio)
March 3 2016 Geah Habib kupitia Hekaheka ya Clouds FM leo ametuletea Hekaheka inayomhusu mtoto aliyetolewa kijijini kwa ajili ya kuja kusomeshwa Dar. Tatizo ni pale alipofika Dar na kupewa kazi…
Baada ya kudaiwa kumdiss Diamond Platnumz, Belle 9 kayaandika haya…!
Ni masaa machachetu tangu kusambaa kwa ujumbe ulioandikwa kupitia Instagram account ya staa wa bongo fleva Belle 9 ikionyesha kumdiss staa mwenzake bongoflevani Diamond Platnumz, ujumbe wenyewe ulisomeka hivi>>> Lakini…
Niliyokurekodia kwenye Uchambuzi wa stori kubwa za magazeti leo March 3 2016… #PowerBreakfast (+Audio)
Katika Uchambuzi wa magazeti March 3 2016 kwenye Power Breakfast ya Clouds FM habari zilizopata nafasi ni pamoja na Askari wanne wa JWTZA mkioani Mbeya wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa…
Ujumbe unaohisiwa kuwa wa Belle 9 unaomdis Diamond Platnumz
Usiku wa March 2 kuamkia March 3 jina la mkali kutoka Bongoflevani Belle 9 lilirudi kwenye headlines baada ya kuonekana kwa post katika mtandao wa Instagram inamdis Diamond Platnumz lakini…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo March 3 2016 kwenye Udaku, hardnews na michezo
March 3 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Full Time ya mechi 5 za Uingereza zilizochezwa Usiku wa March 2 na video za magoli
Baada ya usiku wa March 1 kuchezwa michezo mitano ya Ligi Kuu Uingereza, usiku wa March 2 iliendelea tena michezo ya Ligi Kuu Uingereza, kwa mechi tano nyingine kupigwa katika…